Nasikitika kutangaza kuwa CHADEMA na ACT hawana uwezo wa kuongoza nchi.

Nasikitika kutangaza kuwa CHADEMA na ACT hawana uwezo wa kuongoza nchi.

Nasema Uongo Ndugu Zangu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
279
Reaction score
779
Nasikitika kwasababu ukweli ni kuwa mabadiliko kwenye hii nchi yanaweza kuletwa na kiongozi wa CCM tu kama alivyojaribu JPM kwa muda alio hudumu kama Rais.

Nje ya CCM hakuna chama chenye uwezo wala mpango wa kuchukua hii nchi, hakipo labda kama kitatokea huko mbele. Kwahiyo watanzania poleni kwa kukosa mbadala.

Najua vijana wa bavicha watakuja hapa kichwa kichwa kuporomosha matusi utadhani ilani yao inawaelekeza kuunda, kukariri na kusambaza matusi.

Nashauri wenye mioyo ya kubadili hii nchi walio ndani ya CCM wafanye Mapinduzi ya kimafia ndani ya chama ili 2025 tupate candidate atakaye anzia alipoishia JPM nasema uongo ndugu zangu?
 
Nasikitika kwasababu ukweli ni kuwa mabadiliko kwenye hii nchi yanaweza kuletwa na kiongozi wa CCM tu kama alivyojaribu JPM kwa muda alio hudumu kama Rais.

Nje ya CCM hakuna chama chenye uwezo wala mpango wa kuchukua hii nchi, hakipo labda kama kitatokea huko mbele. Kwahiyo watanzania poleni kwa kukosa mbadala.

Najua vijana wa bavicha watakuja hapa kichwa kichwa kuporomosha matusi utadhani ilani yao inawaelekeza kuunda, kukariri na kusambaza matusi.

Nashauri wenye mioyo ya kubadili hii nchi walio ndani ya CCM wafanye Mapinduzi ya kimafia ndani ya chama ili 2025 tupate candidate atakaye anzia alipoishia JPM nasema uongo ndugu zangu?
Wenzio wanawaogopa Chadema mpka wamewazuia kufanya mikutano na wananchi na kuwabambikia kesi za Ugaidi hewa halafu wew Kibwetele baada ya kuvimbiwa maharage unatoa uharo mdomoni.
 
Ukisikiliza mazungumzo ya viongozi wao utawajua ni watu wa aina gani.

Mambo mengi wanayoyasema kiuhalisia hayatekelezeki.

Wanaishi kwenye ulimwengu flani hivi ambao hauna uhalisia kabisa.
 
Ukisikiliza mazungumzo ya viongozi wao utawajua ni watu wa aina gani.

Mambo mengi wanayoyasema kiuhalisia hayatekelezeki.

Wanaishi kwenye ulimwengu flani hivi ambao hauna uhalisia kabisa.
Ni kweli kabisa ila mkuu ila vijana wao hawajitambui.
 
Kwani Kuna kiongozi yeyote wa Upinzani aliyewahi kuongoza hii Nchi zaidi ya CCM?

Mbona Hali ya Umasikini ni kubwa baina ya Wananchi licha ya kuongozwa na hiyo CCM yenyewe tangu Uhuru Mwaka 1961
 
Mtoa hoja inaonyesha kiwango chako cha upumbavu kipo level gani, usiniletee uaguzi wa Uganda wa kienyeji, kuna mtu katufanya watanzania kuwa mazuzu na mtoa hoja hii ni mmoja wapo, lete facts hapa kuthibitisha hili
 
Nasikitika kwasababu ukweli ni kuwa mabadiliko kwenye hii nchi yanaweza kuletwa na kiongozi wa CCM tu kama alivyojaribu JPM kwa muda alio hudumu kama Rais.

Nje ya CCM hakuna chama chenye uwezo wala mpango wa kuchukua hii nchi, hakipo labda kama kitatokea huko mbele. Kwahiyo watanzania poleni kwa kukosa mbadala.

Najua vijana wa bavicha watakuja hapa kichwa kichwa kuporomosha matusi utadhani ilani yao inawaelekeza kuunda, kukariri na kusambaza matusi.

Nashauri wenye mioyo ya kubadili hii nchi walio ndani ya CCM wafanye Mapinduzi ya kimafia ndani ya chama ili 2025 tupate candidate atakaye anzia alipoishia JPM nasema uongo ndugu zangu?
Mbona unajichanganya?Mara CCM ndiyo inaweza kuongoza nchi na kule tena JPM ndiyo aliweza.Hapo umejikita kwa mtu na si chama.Na kama ulitaka kutoa hisia zako za mahaba kwa Jiwe ungeandika kuhusu yeye kama mlivyojizoesha.
Na vilevile huwa tunaambiwa CHADEMA imekufa.Unayoieleza ni ipi?ACT ni "mbia" wa serikali ya Zanzibar.Au hujui na hilo?
 
Kwani Kuna kiongozi yeyote wa Upinzani aliyewahi kuongoza hii Nchi zaidi ya CCM?

Mbona Hali ya Umasikini ni kubwa baina ya Wananchi licha ya kuongozwa na hiyo CCM yenyewe tangu Uhuru Mwaka 1961
Yeye lengo lake ni kuongoza nchi tu, hilo la mafanikio ya nchi halina muhimu kwake kwani litamuondolea haki ya kuwa mwananchi mnyonge.
 
Back
Top Bottom