Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Mi sijawahi ona hapa nchini kwetu mtu anaoa wa miaka tisa acha upotoshajiNchini kwetu inafanyika kimya kimya bora wao wamehalalisha ifanyikie Kwa kufuata taratibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sijawahi ona hapa nchini kwetu mtu anaoa wa miaka tisa acha upotoshajiNchini kwetu inafanyika kimya kimya bora wao wamehalalisha ifanyikie Kwa kufuata taratibu
Nimekwambia below 18.Binti yangu ana miaka 18. Angekuwa na umri huo na Sheria ingeruhusu kwa utaratibu huo Mimi ni nani hata nikatae?
Mwisho wa mwanamke ni kuolewa.
Acheni Ku complicate mambo.
Virginity is not for everyone. Virginity is for Virgin-Mary and for Virgos.Waliotekwa na Dini watabisha View attachment 3215491
Umewaza kama waarabu. Ukiwatoa waarabu kichwani mwako ukawaza kama wewe wala huwezi kufikiri hivyo!Umewaza kama wazungu. Ukiwatoa wazungu kichwani mwako ukawaza wewe kama Wewe wala huwezi kufikiri hivyo
Mtoto wa miaka 9 hata unaweza mfanya nn sasaUmewaza kama waarabu. Ukiwatoa waarabu kichwani mwako ukawaza kama wewe wala huwezi kufikiri hivyo!
Haujambo English Medium, binti ako kishaolewa? Au bado upo nae?Binti yangu ana miaka 18. Angekuwa na umri huo na Sheria ingeruhusu kwa utaratibu huo Mimi ni nani hata nikatae?
Mwisho wa mwanamke ni kuolewa.
Acheni Ku complicate mambo.
" Watoto wa shule ya msingi, Wao ni chips kuku nyingi, usiogope uniform begi Lina nguo za home"Umewaza kama waarabu. Ukiwatoa waarabu kichwani mwako ukawaza kama wewe wala huwezi kufikiri hivyo!
Sio kuwaza kama wazunguUmewaza kama wazungu. Ukiwatoa wazungu kichwani mwako ukawaza wewe kama Wewe wala huwezi kufikiri hivyo
Sa mbona unakwepa swali bro 😂😂😂Watoto huwaga ni Mali ya serikali wazazi ni kiherehere chetu tu
Kama amesha vunja ungo why not? Tazama picha ya Mtoto wa sheta kazaliwa 2012 unataka kusema huyu hana boyfriend?Sio kuwaza kama wazungu
Hizi mtoto wa miaka kumi na mbili unaweza kumfanya mke?..
Ukalala nae na kuamka nae lakini pia kumpa majukumu ya mke na mama katika umri huo.
Je, binti yako alipokuwa na umri wa chini ya miaka 14, ulimuona kapevuka kiakili na kihisia kiasi cha kuhimili majukumu ya kuwa mama na mke kwa mtu wa umri wako?..
Wakisha vunja ungoHaya unasema kuhusu sex, je, unajua mfumo wa uzazi wa binti unakuwa tayari kwa uzazi akiwa na umri gani?...
Hii ni propaganda. Nani aliamua iwe miaka 18? Walifanya calculation Gani na saa ngapi kufikia miaka 18?Je, unajua vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua vimepungua kwa kiasi gani baada ya kuharamisha uolewaji wa watoto chini ya miaka 18 ??...
Sio kuwaza kama wazungu
Hizi mtoto wa miaka kumi na mbili unaweza kumfanya mke?..
Ukalala nae na kuamka nae lakini pia kumpa majukumu ya mke na mama katika umri huo.
Je, binti yako alipokuwa na umri wa chini ya miaka 14, ulimuona kapevuka kiakili na kihisia kiasi cha kuhimili majukumu ya kuwa mama na mke kwa mtu wa umri wako?..
Haya unasema kuhusu sex, je, unajua mfumo wa uzazi wa binti unakuwa tayari kwa uzazi akiwa na umri gani?...
Je, unajua vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua vimepungua kwa kiasi gani baada ya kuharamisha uolewaji wa watoto chini ya miaka 18 ??...
Dunia haina huruma mkuu.Kuna watu wanaalipa mamilioni wapate Dawa za kuwafanya kuwa na nyege
Ni minyege tu hakuna sababu nyingine. Anajua mtoto wa miaka 9 usiku hawezi mwambia nimechoka na akikataa anambaka mpaka apate Fistula.utakua CCM wewe maana hizo ni akili za 🤧makamasi, mtoto wa miaka 14 aolewe? miaka 9 ukimchumbia unamharibu kisaikolojia.....
kama wenzangu walivosema mlete mdogo wako ama mwanao wa miaka 9 hadi 14 tumpige miti halafu uje uandike uzi mpya
Sheria ya ndoa ya Tanzania ya Mwaka 72 inasema " Msichana anaweza kuolewa Kwa ridhaa Yake mwenyewe akiwa na umri wa miaka 15 na kwa ridhaa ya wazazi wake akiwa na umri wa miaka 14"utakua CCM wewe maana hizo ni akili za 🤧makamasi, mtoto wa miaka 14 aolewe?
miaka 9 ukimchumbia unamharibu kisaikolojia.....
kama wenzangu walivosema mlete mdogo wako ama mwanao wa miaka 9 hadi 14 tumpige miti halafu uje uandike uzi mpya