Pia Wakumbushe bei ya Kondom ni 1000 tuUnabeba mimba siku ya Valentine ukijua kabisa December hutoboi.
Weka hata buku kila siku,
Kuna vigogo waeili waliofariki nwaka jana waneacha watoto wawili tu kila mmoja.
Wewe choka mbaya unazaa kila mwaka.
Mkuu kuna watu wengine wana mihemko kiasi wanashindwa kuona uhalisia wa maisha ya watanzania walio wengi, cha kujiuliza ni kuwa sera ya afya kwa akina mama wajawazito inasemaje?Personal Protective Equipment (PPE) kama vile gloves, masks, etc. ni supplies za kawaida sana kwa medical professionals. Ni kama vitendeakazi vyao. Hata kumpiga sindano (au kumshika kwa namna yoyote) mgonjwa, nurse anapaswa kuwa amevaa gloves. Kwa hiyo, sio sahihi kukomaa kwamba wanaokwenda kujifungua wanunue gloves wakati wanaokwenda kupigwa sindano au kufungwa vidonda hawakomaliwi kununua gloves!
Chalamila hajawahi kuwa na akili.Unabeba mimba siku ya Valentine ukijua kabisa December hutoboi.
Weka hata buku kila siku,
Kuna vigogo waeili waliofariki nwaka jana waneacha watoto wawili tu kila mmoja.
Wewe choka mbaya unazaa kila mwaka.
Kabisa.. Ni kweli. Chalamila yupo sahihi.Unabeba mimba siku ya Valentine ukijua kabisa December hutoboi.
Weka hata buku kila siku,
Kuna vigogo waeili waliofariki nwaka jana waneacha watoto wawili tu kila mmoja.
Wewe choka mbaya unazaa kila mwaka.
Vipapatio vya kuku na miguu na firigisi kila siku anakula, lakini kununua vifaa haweziUnabeba mimba siku ya Valentine ukijua kabisa December hutoboi.
Weka hata buku kila siku,
Kuna vigogo waeili waliofariki nwaka jana waneacha watoto wawili tu kila mmoja.
Wewe choka mbaya unazaa kila mwaka.
Wanalindwa na sera za nchi vinginevyo serikali iweke wazi kuwa mambo yamebadilika na si kutapeli watu kwa kuwahadaa kwamba watahudumiwa bure ilhali wakifika hospitali wanakuta mambo sivyo yalivyo.Unabeba mimba siku ya Valentine ukijua kabisa December hutoboi.
Weka hata buku kila siku,
Kuna vigogo waeili waliofariki nwaka jana waneacha watoto wawili tu kila mmoja.
Wewe choka mbaya unazaa kila mwaka.
Mbona mgonjwa anapochomwa sindano nurses huvaa gloves na hawasemi kuwa mgonjwa wa kuchomwa sindano aje na gloves zake, kwa nini wawakomalie wamama wanaojifungua huku sera za nchi zimewapa exemption ya kulipia huduma za kujifungua.Kujiandaa katika kila jambo ni kitu cha muhimu mno mno, tatizo langu lipo hapo kama serikali haiwezi ku supply gloves za kutosha mpaka kuagiza wajawazito waziandae kuna nini tenaa hapo.
Mwambie hii statement yule alikuleta wewe duniani atakuwa na majibu sahihi kwako.Unabeba mimba siku ya Valentine ukijua kabisa December hutoboi.
Weka hata buku kila siku,
Kuna vigogo waeili waliofariki nwaka jana waneacha watoto wawili tu kila mmoja.
Wewe choka mbaya unazaa kila mwaka.
Ndio hapo sasa gloves nazo za kumsimangia mtu eti akajifungulie home, hapo wananchi wanatakiwa kupaza sauti na sio kuunga mkono au kuchekea upuuzi kama huuMbona mgonjwa anapochomwa sindano nurses huvaa gloves na hawasemi kuwa mgonjwa wa kuchomwa sindano aje na gloves zake, kwa nini wawakomalie wamama wanaojifungua huku sera za nchi zimewapa exemption ya kulipia huduma za kujifungua.