mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Ndio kabisaaWalamba asali wannaona ni kizingiti sana baada ya kuondoa masalia ya Magufuli yote. Amebaki yeye. Zengwe linatafutwa. Wacha wajichanganye kwa Majaliwa, kusini yote na kanda ya ziwa watapata shida mno.
Hzo n blah blah tuu kutaka kuaminisha watu kuwa anajihusisha na huyo mtu kumbe hola, we ushaoba wapi mtu mzima na binti Tena mjinga na mtu wa Lindi wao na wapMajaliwa anayelinda watu kukwepa Kodi?. Refer mama kibonge na kesi ya ukwepaji Kodi.
Shida ipo WAP Sasa kwa Majaliwa?Na kumekuwa na nyuzi nyingi za kumtetea PM, kama hii yako. Hivi mwenye akili atashindwa kung'amua kweli kwamba watu mnalipwa ili mumtetee!!???
Kiitifaki huwezi kutangazia Taifa kuwa Rais kafariki wakati Dola bado haijajipanga naomba muwe mnafikiri kidogo kuhusu hili. Ilkua n lazima waseme vile mie binafsi nilijua tayari mzee hayupo kwa viashiria Fulani nilikuwa natoka sehemu nikakutana na magari ya wakuu wa mikoa watu wanaelekea sehemu moja pili ghafla kumuona makamu wa Rais akiwa na ummy tanga hapo ndio niljua chuma kimeendaShida ya huyu bwana ni uongo uongo mwingi na kuanzisha vitu asivyovimalizia
Busara ni kukaa kimya. Angepiga kimya tu. Kisha kusubiri hiyo dola ijipange. Kusema uongo ni dhambi kidini, inashusha hadhi kwenye jamii na inaondoa kuaminika tena.Kiitifaki huwezi kutangazia Taifa kuwa Rais kafariki wakati Dola bado haijajipanga naomba muwe mnafikiri kidogo kuhusu hili. Ilkua n lazima waseme vile mie binafsi nilijua tayari mzee hayupo kwa viashiria Fulani nilikuwa natoka sehemu nikakutana na magari ya wakuu wa mikoa watu wanaelekea sehemu moja pili ghafla kumuona makamu wa Rais akiwa na ummy tanga hapo ndio niljua chuma kimeenda
Hakuna jiwe litakalo sisi juu ya mwambaKumekuwa na nyuzi nyingi sana ambazo zinaanzishwa kwa hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu hivi Hawa watu wapo nyuma ya Nani? Hivi hawaoni jinsi anavyojitajidi kupambana na mchwa inayoligharimu Taifa...
Tanga inaheshima yake mzee hasa kule kwenye udongo mwekundu kwanza makamu wa Rais alkua na ziara sijui Kanda ya ziwa hv wakati huo wakuu wa mikoa na v8 nyingi zilkua zinaelekea Dodoma hapo mie niliwaambia watu nahisi Kuna kitu hskijakaa sawa kuhusu uhai wa JPM, alafu gafla makamu akaibukia Tanga na master minder wake huko vijijini nikajua tayari mtu kaenda kupewa Kinga ili akikaa pale wasimdhuru.Busara ni kukaa kimya. Angepiga kimya tu. Kisha kusubiri hiyo dola ijipange. Kusema uongo ni dhambi kidini, inashusha hadhi kwenye jamii na inaondoa kuaminika tena.
Kaswali ka nje ya mada kidogo, makamu kwenda Tanga na Ummy ilikupaje machale kuwa chuma kimepumzika mazima?
Ameshaanza kuwalipa na yeye? ππ.Kumekuwa na nyuzi nyingi sana ambazo zinaanzishwa kwa hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu hivi Hawa watu wapo nyuma ya Nani? Hivi hawaoni jinsi anavyojitajidi kupambana na mchwa inayoligharimu Taifa.
Kama sio Majaliwa unadhani huko kwenye halmashauri Hali ingekuwaje japo wanamzidi akili sababu wanajua mtetezi wao yupo?
Mawaziri na wizara zote zinaripoti kwa rais lakini Kama wangekuwa wanawajibika kwa Waziri Mkuu aisee hawa kina Nape, Makamba, Mwigulu, aweso wasingekuwa ni mawaziri wakusemasema vitu visivyohitajika kusikia watanzania.
Waziri Mkuu yaan Kassim Majaliwa kwa Sasa ndio nguzo imara kwenye serikali hapa Tanzania.
Mawaziri wameshindwa kumuheshimisha Rais na wanaofanya juhudi za kumdharau Waziri Mkuu sema kwa uhodari na uwanaume alionao Kassim Majaliwa nakwambia anakomaa nao.
Hata Hilo genge nasikia wanasema amebaki Kassim tuu ili mamboyao yaende vizuri nawashauri karatasi ya kura ndio itaamua nasio wao.
Rais ni taasisi kubwa Kama kuona anatakiwa kuona sababu wateule wake hasa mawaziri wengi wanaviburi vya pesa na wengi wanatafutiwa mmoja wao she kuwa namba moja na wanaofanya haya ni wateule wako ndani ya chama wengine wateule wako wa serikalini na wengine umeamua kuishi nao sababu wanaonekana Ni wazuri kwenye Biashara za kimataifa.
Rais aangalie vizuri watu wake wa karibu wanamsaliti parefu na Kassim Majaliwa anajitahidi kupambana nao lakini Rais huumpi nguvu tafadhali lione Hilo.
Mwisho Tanzania Ni yetu sote tufanye kazi kwa juhudi tuondoe umaskini kwenye familia zetu kwani kulalamika hakujawahi kuleta ugali mezani.
Huyu PM n habari nyingine sasa mie nianze kulipwa na Majaliwa sintakuwa mcharo aisee.Ameshaanza kuwalipa na yeye? ππ.
PM huyu Hana tofauti na Ummy au Bashungwa wa Tamisemi Kila siku matamko ila hayana impacts Wala utekelezaji.
Habari nyingine ipi? Ukiangalia msururu wa ufisadi awamu ya 5 Kama inqvyoripotiwa huko Bungeni na CAG huyu ndie mhusika mkuu was uzembe..Huyu PM n habari nyingine sasa mie nianze kulipwa na Majaliwa sintakuwa mcharo aisee.
Majaliwa anauzika nayeye binafsi anauza hvyo mnavyomletea mauongo blah blah mjipange
We unaona Kama uchaguzi ingekuwa January 2023 na kampeni zianze 15-nov-2022 wagombea wawe.Habari nyingine ipi? Ukiangalia msururu wa ufisadi awamu ya 5 Kama inqvyoripotiwa huko Bungeni na CAG huyu ndie mhusika mkuu was uzembe..
In fact alitakiwa kufukuzwa pengine Ni vile Mama anamstahi ama alimtonya mpango wa kupindua Katiba au walikuwa wote wahanga wa awamu ya 5 so anaishi kwa fadhila, otherwise Ni failure..
Hivi huyu jamaa na Mawaziziri wakijitokeza Kugombea Urais anaweza washinda kweli?
Naamini siku Majaliwa atakapochukua form ya urais basi atakuwa president the same day, huyu mzee bado anafanya kazi ya vizuri anachohitaji zaidi ni more power from the system, wajinga wanamchukia sanaSafi sanaa
Hawa akina Sijui Magoto ni Wahaini. Anatakiwa akamatwe haraka sanaa.
Hatuhitaji Mabeberu humu ndani. Tutamlinda MAJALIWA KASIMU. Waziri Mkuu wetuu .
Ndio kiongozi pekee anaweza vaa viatu za Uraisi kwa Sasa wa nchi yetu. Baba Majaliwa tembea Kifua Mbele , usiogope mimi na Wazalendo wa kweli wa Taifa hili tuko nyuma yakoo. Na tutakulinda Dhidi ya Wadhalimu ,na wanyang'anyi wa Rasilimali za nchi yetuu
Nasimama na Mhe Kasim Majaliwa Kasim
ππππποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈ
Kilichofanyika uchaguzi wa 2020 lazima kiwagharimu wote walioshiriki dhuluma hiyo.Hapa Kazi Tu!
View attachment 2412164
Umenena mkuu salute to youTakuwa mnafiki kusema Majaliwa anafanya kazi nzuri..., Ila takuwa kipofu kusema tatizo ni Majaliwa ni kama unataka kumuua mjusi unapiga mkia badala ya kichwa...
Yaani Unafukuza nzi badala ya kuondoa mzoga... (which is which ?, you decide...)
Uzi umekaa kisiasa zaidiKumekuwa na nyuzi nyingi sana ambazo zinaanzishwa kwa hoja ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu hivi Hawa watu wapo nyuma ya Nani? Hivi hawaoni jinsi anavyojitajidi kupambana na mchwa inayoligharimu Taifa.
Kama sio Majaliwa unadhani huko kwenye halmashauri Hali ingekuwaje japo wanamzidi akili sababu wanajua mtetezi wao yupo?
Mawaziri na wizara zote zinaripoti kwa rais lakini Kama wangekuwa wanawajibika kwa Waziri Mkuu aisee hawa kina Nape, Makamba, Mwigulu, aweso wasingekuwa ni mawaziri wakusemasema vitu visivyohitajika kusikia watanzania.
Waziri Mkuu yaan Kassim Majaliwa kwa Sasa ndio nguzo imara kwenye serikali hapa Tanzania.
Mawaziri wameshindwa kumuheshimisha Rais na wanaofanya juhudi za kumdharau Waziri Mkuu sema kwa uhodari na uwanaume alionao Kassim Majaliwa nakwambia anakomaa nao.
Hata Hilo genge nasikia wanasema amebaki Kassim tuu ili mamboyao yaende vizuri nawashauri karatasi ya kura ndio itaamua nasio wao.
Rais ni taasisi kubwa Kama kuona anatakiwa kuona sababu wateule wake hasa mawaziri wengi wanaviburi vya pesa na wengi wanatafutiwa mmoja wao she kuwa namba moja na wanaofanya haya ni wateule wako ndani ya chama wengine wateule wako wa serikalini na wengine umeamua kuishi nao sababu wanaonekana Ni wazuri kwenye Biashara za kimataifa.
Rais aangalie vizuri watu wake wa karibu wanamsaliti parefu na Kassim Majaliwa anajitahidi kupambana nao lakini Rais huumpi nguvu tafadhali lione Hilo.
Mwisho Tanzania Ni yetu sote tufanye kazi kwa juhudi tuondoe umaskini kwenye familia zetu kwani kulalamika hakujawahi kuleta ugali mezani.