Nasimama upande wa Keshas namtetea hana makosa hata kama kweli anawalala hao wadada

Nasimama upande wa Keshas namtetea hana makosa hata kama kweli anawalala hao wadada

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Katika vitu ninavyoviona vya ajabu basi ni tuhuma zinazomkabili Keshas.

Keshas huduma zake kwa ujumla ni gharama sana, kupunguza tu tumbo tu peke yake ni laki 9 lakini cha ajabu kila kukicha wateja wanazidi kumiminika kwake kuanzia wateja wa kawaida mpaka wale V.I.P mfano mmojawapo ni Zari the bosslady , Wastara Sajuki nk.
Sasa pointi yangu ya msingi ninayosimama nayo ni kwamba,

"Iweje jamaa kama hana huo uwezo wa kupunguza matumbo na kutengeneza shape kwa Nini wateja wanazidi kumiminika kwake?Kwa nini wasiende kwa watoa huduma wengine wanafanya kazi kama anayofanya yeye?

Kuna shutuma nzito zinamkabili jamaa eti anawatapeli akina dada na kuwanyanyasa kingono kwa kuwaongopea kwamba ili matumbo yao yapungue basi itabidi aingize dawa kwenye uume wake na kuwaingizia hao wadada ili dawa ikayayushe hayo mafuta,

Hivi kwa akili ya kawaida hili jambo Lina make sense kweli??

Hapa ukichunguza kwa makini kuna jambo nyuma ya pazia linaendelea .

Nimeona Waziri Gwajima amemtaka jamaa ajitokeze hadharani kujibu tuhuma zinazomkabili, ngoja tuone itakavyokuwa.

Lakini yote kwa yote hajawabaka wala hajawalazimisha ni wao wenyewe ndio waliomtafuta na walikubaliana bila kulazimishana, hivyo kwa vyovyote vile jamaa hana hatia.

-1351751241.jpg
 
Lakini ukiangalia kiubinadamu hao wanawake ndio wendawazimu, hizo aina za dawa tulizisikia zamani enzi za waganga kutumia mbinu hiyo ya ‘kuingiza’ dawa kwa wanawake sio zama hizi.

Ila wewe nae una balaa? Kwahiyo unataka kusema Zari nae ‘aliingiziwa’ dawa na Keshas? Hii mbona ni mpya?
 
Yani mimi kitu ambacho sielewi hivi siku hizi guts na haya wanawake wameiweka wapi hadi anaweza kwenda akamvulia mwanamme eti ampake dawa kwenye K au amnyoe mavuzi. Kwa kweli dunia iko kasi sana.
Kwakweli mimi acha nibaki na ushamba wangu!
Hayo mambo ya kwenda kufanyiwa waxing yamenishinda, nikijaribu kuwaza itakuwaje naghairi hapohapo.
 
Yani mimi kitu ambacho sielewi hivi siku hizi guts na haya wanawake wameiweka wapi hadi anaweza kwenda akamvulia mwanamme eti ampake dawa kwenye K au amnyoe mavuzi. Kwa kweli dunia iko kasi sana.
Itakuwa wanamsingizia.

Kwanza alishakataa kufanya kazi na wadada asiowajua ,wadada wengine wanafosi sasa kumkomesha wanamtengenezea zengwe kama hili.
 
Lakini ukiangalia kiubinadamu hao wanawake ndio wendawazimu, hizo aina za dawa tulizisikia zamani enzi za waganga kutumia mbinu hiyo ya ‘kuingiza’ dawa kwa wanawake sio zama hizi.

Ila wewe nae una balaa? Kwahiyo unataka kusema Zari nae ‘aliingiziwa’ dawa na Keshas? Hii mbona ni mpya?
Yah Zari ni mmoja wa wateja zake.

Kuhusu kuingiziwa dushelele hapo sijui.
 
Kwakweli mimi acha nibaki na ushamba wangu!
Hayo mambo ya kwenda kufanyiwa waxing yamenishinda, nikijaribu kuwaza itakuwaje naghairi hapohapo.
Kqani waxing si hata mwanamke mwenzio anaweza kukufanyia.
 
Back
Top Bottom