Nasimama upande wa Keshas namtetea hana makosa hata kama kweli anawalala hao wadada

Nasimama upande wa Keshas namtetea hana makosa hata kama kweli anawalala hao wadada

Jamaa ni shujaa hasa baina ya wanaume.

Huyu ndio kidume pekee aliefanikiwa kulipwa na wanawake ili awalale.

Wanaomuandama itakuwa waligongewa mademu zao na jamaa walipoenda kupunguzwa matumbo.
Na kawatmbb kwerikweri aise
Na sjui kama mitaro yao kaiacha salama

Ova
 
Utaalamu wa kupunguza matumbo ameutoa wapi huyo jamaa?

There are too many stupid people walking the face of the earth!

Since stupid is as stupid does, they deserve everything they get and then some!

I wish I could legislate stupidity….
Nchi ina wapmbv wengi sana hii
Jamaa kaja na mbinu tu ya kuwalaa
Tu hakuna cha kupngza kitambi wala kuongeza tako
Jamaa kawafukunyuaaa sana wajinga hawa

Ova
 
Uyu jamaa atakuwa kwer anawatengeneza shep na kupunguza ayo matumbo ila itakuwa kishilikina dawa ili ifanye kazi vzr lazima akuchape nao hpo sasa chagua kusuka au kunyoa
 
Kuna vitu huwa vinachekesha sanaa nilisikiliza voice note wakings Ndio waliwao wanawake /wanaume kwa kufata mikumbo Ndio maana mlilizwa na Forex ya ontario pia
 
Jamaa ni shujaa hasa baina ya wanaume.

Huyu ndio kidume pekee aliefanikiwa kulipwa na wanawake ili awalale.

Wanaomuandama itakuwa waligongewa mademu zao na jamaa walipoenda kupunguzwa matumbo.
Mwanzoni walimpa skendo ya uhanithi , wakaona hapana ngoja tumbadilishie skendo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom