Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Basi mumeo.Bado ndio hayohayo, ni kitendo cha aibu kufanyiwa na wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mumeo.Bado ndio hayohayo, ni kitendo cha aibu kufanyiwa na wengine.
Kwani si wanafunika plaster kwenye naniliu ile, ule ufa au bonde la ufa pale? 🤭😁Bado ndio hayohayo, ni kitendo cha aibu kufanyiwa na wengine.
Hii ni mpya na ni lazima mbea wetu apate taabu kidogo hapa😁😁😁Ila wewe nae una balaa? Kwahiyo unataka kusema Zari nae ‘aliingiziwa’ dawa na Keshas? Hii mbona ni mpya?
Waxing ndio kufanya nini?Kwakweli mimi acha nibaki na ushamba wangu!
Hayo mambo ya kwenda kufanyiwa waxing yamenishinda, nikijaribu kuwaza itakuwaje naghairi hapohapo.
Ahh kumbe wanaoenda huko ni wajingaKwanza sina kitambi sijui tumbo, pili hata ningekuwa nalo nisingeweza kufanya huo ujinga, never!
Na kawatmbb kwerikweri aiseJamaa ni shujaa hasa baina ya wanaume.
Huyu ndio kidume pekee aliefanikiwa kulipwa na wanawake ili awalale.
Wanaomuandama itakuwa waligongewa mademu zao na jamaa walipoenda kupunguzwa matumbo.
Nchi ina wapmbv wengi sana hiiUtaalamu wa kupunguza matumbo ameutoa wapi huyo jamaa?
There are too many stupid people walking the face of the earth!
Since stupid is as stupid does, they deserve everything they get and then some!
I wish I could legislate stupidity….
Utapeli wa huyu mwamba ni konki zaidiNi kwamba huyo na wale wanaosema tuma kwenye namba hii wanaingia kundi moja. Wote ni matapeli
Kuna muda nahisi anatumia dawa..i mean, inawezekanaje?? Wanawake sisi[emoji119]Utapeli wa huyu mwamba ni konki zaidi
Mwanzoni walimpa skendo ya uhanithi , wakaona hapana ngoja tumbadilishie skendo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamaa ni shujaa hasa baina ya wanaume.
Huyu ndio kidume pekee aliefanikiwa kulipwa na wanawake ili awalale.
Wanaomuandama itakuwa waligongewa mademu zao na jamaa walipoenda kupunguzwa matumbo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani si wanafunika plaster kwenye naniliu ile, ule ufa au bonde la ufa pale? 🤭😁
Kabisa mkuuWatu kama wameliwa kwa upumbavu wao wakae kimya...