Nasimama upande wa Keshas namtetea hana makosa hata kama kweli anawalala hao wadada

Nasimama upande wa Keshas namtetea hana makosa hata kama kweli anawalala hao wadada

Ni kama sisi tunavyoenda masaji tunakandwa mpaka hisia zina up afu tunaomba game tunapewa. Sasa apo utasema kosa la dada wa masaji ama mteja?
 
JAMAA HANA KOSA
SEMA UPUMBAVU WAKO NDIO MTAJI WA WENGINE!!!
MNAPENDA MATOKEO YA KAHAKA HARAKA, HAMPENDI NJIA ZA KUFUATA KUFIKIA MAFANIKIO HAYO!

UKWELI NI KWAMBA SOKO LA WAPUMBAVU NI KUBWA, KUNA FURSA ZA KUTOSHA.

01.01.2024 NITAZINDUA DAWA ZA VIDONGE VYA KUNENEPESHA TAKO NDANI YA NUSU SAA.
KWA WAHITAJI NI PM,WEKA ODA YAKO MAPEMA
 
Iweje jamaa kama hana huo uwezo wa kupunguza matumbo na kutengeneza shape kwa Nini wateja wanazidi kumiminika kwake?Kwa nini wasiende kwa watoa huduma wengine wanafanya kazi kama anayofanya yeye?
We sijui umekuja mjini lini.

Hao unaowaona wanajitangaza kwamba wamepata huduma kwake wote ni Matapeli wanaungana kuwapiga watu pesa.

Mjini hapa..Utapeli uko.very Organized kuvuta Trust ya watapeliwa.
 
Mie cjawahi ona connection ya keshaz wa ebitoke [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu usikute Ebitoke anahusika kwenye sakata linalomtafuna jamaa.

Ebitoke naye mapepe ana bwana wake ni DJ anafanya kazi Juliana Pub.
 
Back
Top Bottom