Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Kazi ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Jamaa naye atakuwa shoga tu,mfano mm ndio nanyoa vuzi la pisi Kali mjini sahizi ningeshafungwa kitambo Kwa ubutuaji usio rasmi.
Mie cjawahi ona connection ya keshaz wa ebitoke [emoji23][emoji23][emoji23]Ntumie basi nilione
Kwakweli mimi acha nibaki na ushamba wangu!
Hayo mambo ya kwenda kufanyiwa waxing yamenishinda, nikijaribu kuwaza itakuwaje naghairi hapohapo.
Mwanamke mwenye uchumi ni hatari sana Mkuu.Yani mimi kitu ambacho sielewi hivi siku hizi guts na haya wanawake wameiweka wapi hadi anaweza kwenda akamvulia mwanamme eti ampake dawa kwenye K au amnyoe mavuzi. Kwa kweli dunia iko kasi sana.
Nope!Ila unawish? Labda unakhofia usalama, utu, na heshima yako, but ukipata huakika kua utakua safe on those sides unaweza fanya kiroho safi eh?
We sijui umekuja mjini lini.Iweje jamaa kama hana huo uwezo wa kupunguza matumbo na kutengeneza shape kwa Nini wateja wanazidi kumiminika kwake?Kwa nini wasiende kwa watoa huduma wengine wanafanya kazi kama anayofanya yeye?
Halafu usikute Ebitoke anahusika kwenye sakata linalomtafuna jamaa.Mie cjawahi ona connection ya keshaz wa ebitoke [emoji23][emoji23][emoji23]
Kaja na style nzr sana ya kuwala +kuwafukua mtr hao wadadaSioni kosa lake huyu jamaa
Maana wanaenda wenyewe
Kawafaidi sanaKabisa mkuu.
Hajawalazimisha ,wanaenda wenyewe kufuata huduma yake na wakishahudumiwa na wao wanaleta marafiki zao wahudumiwe.
Sio wote ni bol.o tu ndo lilipostiwa nataka kulionaMie cjawahi ona connection ya keshaz wa ebitoke [emoji23][emoji23][emoji23]