Nasitisha kwa muda kushabikia Simba Sports Club ila wakiyafanyia kazi yafuatayo nitarudi!

Kumbe Jery Muro anawaumiza wengi!
Point namba 12 inaonesha kama umetumwa na Dewj, na point 15 inaonekana nawewe pia unapenda majungu...anyway kama umechoka kukaa matopeni karibu kwa wa kimatafa.
 
Kumbe Jery Muro anawaumiza wengi!
Point namba 12 inaonesha kama umetumwa na Dewj, na point 15 inaonekana nawewe pia unapenda majungu...anyway kama umechoka kukaa matopeni karibu kwa wa kimatafa.
Tulia wewe. Wa kimataifa mna rekodi gani? usilete akili za jerry muro
 
Tulia wewe. Wa kimataifa mna rekodi gani? usilete akili za jerry muro
Kwa bahati nzuri sikuwa nazungumza nawewe, punguza tabia za kike kudaka maneno yasiyokuhusu..oooh sorry nilisahau kama hii ni tabia yenu wamatopeni..hata wewe kama umechoka kuishi matopeni tunakukaribisha huku lkn plz ukija tabia za huko ziache hukohuko huku ni soka tu tena la kimataifa siyo mabonanza
 

Mkuu umesahau kitu kimoja! Tatizo la simba ni mwenyekiti Aveva, Mimi nilipumzika kushabikia simba Mara baada ya huyu mwenyekiti kuwafukuza uanachama waliokuwa wapinzani wake kwenye uchaguzi, badala ya kujenga yeye akabomoa, ndicho kinachoitafuna simba hadi Leo, "dhambi ya ubaguzi"
Hakuna lolote linaloweza kufanikiwa simba kwa sasa mpaka mwenyekiti huyu atoke!
Tangu aingie hakuna kombe wala kushiriki michuano ya klab bingwa
 
Hapo kwa ka Alcohol na Juma abdul mbona mna kijana kariba yao tena bado mdogo kabisa anaitwa hasan kessy mmempeleka wapi kwani?
Kawaida yao kutupa almasi wakijua ni vipande vya chupa.
Kessy huyo mbioni kutua Yanga akifuata nyayo za Yondani na Tambwe.
Simba sasa ni nursery ya kuzalisha wachezaji ili waende Yanga au Azam
 
Jibu hoja acha kurukaruka kama umekalia dole gumba
 
Uliyoyasema ni ya Ukweli mtupu. Tunaitaji mabadiko makubwa Msimbazi.
 
pole mkuu sisi wengine tulishatoka zamani na roho zimetulia tatizo la simba ni azam toka iwe strong hatujawahi fulukuta tunaishia nafasi ya 3 kumbuka mpaka sasa simba tumekuwa tunapoteza point kwa azam,yanga +toto na hakuna kiongozi mwenye mkakati kututoa hapo
 
Kawaida yao kutupa almasi wakijua ni vipande vya chupa.
Kessy huyo mbioni kutua Yanga akifuata nyayo za Yondani na Tambwe.
Simba sasa ni nursery ya kuzalisha wachezaji ili waende Yanga au Azam

Kessy haiwezi kuchukua no.ya Juma Abdul.
 
Okwi yupi huyo,yule yule wa siku zote tunaemfahamu au Okwi mpya kutoka Nigeria?kweli Simba mmelogwa,ndio yale yale ya kumsajili Mgosi.

Utakuwa unamuogopa tu Okwi,unaijua habari yake vizuriOkwiiiiiiiiiiiii!!!
 
Kessy haiwezi kuchukua no.ya Juma Abdul.
Hilo ni kweli lakini endapo Abdul ataumia, Kessy atakuwa ni sub nzuri sana. Pia anaweza kutumika kwa njia nyingine kama winger. Lengo ni kuwa na kikosi kipana. Kuna kuumia, matizo ya kifamilia na kutumikia kadi za njano au nyekundu.
 
Hilo ni kweli lakini endapo Abdul ataumia, Kessy atakuwa ni sub nzuri sana. Pia anaweza kutumika kwa njia nyingine kama winger. Lengo ni kuwa na kikosi kipana. Kuna kuumia, matizo ya kifamilia na kutumikia kadi za njano au nyekundu.

Kama anaenda kusubiri mtu aumie hapo sawa ila si kikosi cha kwanza.Kwanza hana cross nzuri maana cross zake nyingi anapiga kwa gollkeeper japo ni mzuri kusukuma mashambulizi mbele,tatizo mtu wa kati anaposubiri cross yake ndo utashangaa.
 
Simba imeangushwa sana viongozi hasa huu uongozi wa kina Aveva (jamaa kawekwa kama boksi) hana maamuzi yeyote
Hans Pope anapaswa kuondolewa kwenye hiyo kamati ya usajili ndio anaongoza kuiharibu klabu ya Simba
Ha ha ha wamatopeni bwana? Mwiteni Michael Wambura!
 
kwa shabiki wa kweli wa simba akisikia Kessy kaenda yanga sidhani kama atasikitika kwa mambo aliyotufanyia kwenye zile mechi mbili tulizopoteza pointi 6 muhimu.
 
kwa shabiki wa kweli wa simba akisikia Kessy kaenda yanga sidhani kama atasikitika kwa mambo aliyotufanyia kwenye zile mechi mbili tulizopoteza pointi 6 muhimu.

Halafu yule mtoto ni mbishi wa asili sijui wa wapi yulee sijui kala maharage ya wapi yulee,waondoke na Banda wake.Pale Simba kunastahili kubaki wachezaji kama 8 tu wengine ni wa kupiga chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…