Naskia Raha Miieeeee....🥰🥰🥰 Utaaamu ☺️

Naskia Raha Miieeeee....🥰🥰🥰 Utaaamu ☺️

Kuna Mwamba humu ndani alisema mnasikia raha mara 10 yetu, enjoy yourself [emoji23]
 
Perfect Mangiii.... mambooo...!!

Long time, good to see you again.

Happy New Year..!
Mama Kasie hii furaha sio ya kitoto..inaelekea lile fungu kutoka nyumba ya wazee limedondoka leo na inaonesha ni zito haswa😁
 
Du huyu atakuwa kafika kilelen kwa mara ya kwanza
 
Wakulungwa....

Japo joto kali, jua linawaka ila tabasamu halikauki usoni.....

View attachment 2082327
Najua nimeshapokea mafao ya uzeeni ila hii furaha ya leo ni nje ya mafao....

Mahaba niache nipange mipango maisha mapya ya kustaafu mweeeh mweeeh mweeeeh......

View attachment 2082329


Nasinzia nikikuwaza ooohhh....



Kumbatoooo, kumbatoo ndo kulogwa kwangu hapo ....😍😍

Kasinde Matata.

Mateso bila chuki
 
Back
Top Bottom