Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha uli/unatamani kunipiga??Ndo maanake uliniboa sanaaaa .
Iwe kaisiki nikwenda ninshaba ompe ebigonzo byawe😎😎Iiiiiiiiiihh wabonaitu..!
Wakulungwa....
Japo joto kali, jua linawaka ila tabasamu halikauki usoni.....
View attachment 2082327
Najua nimeshapokea mafao ya uzeeni ila hii furaha ya leo ni nje ya mafao....
Mahaba niache nipange mipango maisha mapya ya kustaafu mweeeh mweeeh mweeeeh......
View attachment 2082329
Nasinzia nikikuwaza ooohhh....
Kumbatoooo, kumbatoo ndo kulogwa kwangu hapo ....😍😍
Kasinde Matata.
Yeah. Chora mstari tuzichape.Hahaha uli/unatamani kunipiga??
Nitakubamba tu mahali unalilia mapenzi.Mi mbona sihangaiki sahivi nipo poa sana..😁
Jinga wewe utaniwezea wapi??😅Yeah. Chora mstari tuzichape.
Mie nakuja na hubby wangu atakunyoosha.Jinga wewe utaniwezea wapi??😅
Twende nyuma ya nyumba tuzichape sasaMie nakuja na hubby wangu atakunyoosha.
NeverNitakubamba tu mahali unalilia mapenzi.
Na nitakusimanga balaa 🤣🤣
Ahsante kwa kunishtua dear, ngoja nimshukie kama mwewe huyu KENZY ananitania, nani ana gundu 😂
Kaongo unaliaga michozi humu🤔 au siye wewe yule na uzi wako mrefuu ulivotoswa?😂Mi mbona sihangaiki sahivi nipo poa sana..😁
Mh! Mi mbona nishaokoka nampenda yesu!Kaongo unaliaga michozi humu🤔 au siye wewe yule na uzi wako mrefuu ulivotoswa?😂
Hapo sawa mana mara ya kwanza hii "kumbato" nilifikiri umeigeuza.Hapana.....
Kumbato
Tabasamu
That feeling of True Love... [emoji177]
SitakiiUsiku mwema toto..
Ahaaaa nimekuja sasa, nani ana gundu? JibuuJifunze uvumilivu muda mwengine hicho kidada kitanichamba na kunichambua Kama karanga ushaniletea balaa..😥