HACHOKI TALEMWA
Member
- Mar 4, 2013
- 93
- 9
miye nakutusi kwanza kama utachukia pouwa tu huna akili, alafu ni mjinga nakushauri acha chuo tu maana hujitambui so hata ukisoma at the end utashindwa apply ur knowledge maana hujitambui wewe so rudi home ukijua unataka nini na uwe nani basi rudi shule byue.
nilitaka nipime akili yako! Make nilijua tu huna data kuhusu mathematics na informatics! Make form4 ulipata f na haujui informatics ni nini! Na akili yako ni mbovu huna budi kujiunga na chama cha mataila. We ndo uliyenifikisha chuo kikuu? Kaendelee kureseat unakamatwa kila mwaka make akili yako nisawa na ya fenesi!
niko mwaka wa kwanza katika chuo kikuu kwa Bsc in INFORMATICS AND MATHEMATICS, ni semister (semester) ya kwanza sasa nimemaliza ila sijajua nikimaliza nitakuwa nani au nitafanya kazi gani!! msinishangae au kunidharau bali nikwasababu ya ubize maprof wanaonipa make (maana yake) kuna assynment (assignment) kibao,test,quiz na endout (handout) mpaka nakosa mda (muda) wa kuuliza kichwa changu na kutafakali nitakuwa nani!naomba kwa waliosoma kozi ya ivo mniambie mnafanyakazi gani? au kama una ndugu yako amesoma hayo mambo naomba uniambie anafanya kazi gani. NITASHUKRU KWA USHILIKIANO WENU
He, kumbe BSc Mathematics and Informatics watu husomea jinsi kutukana?nilitaka nipime akili yako! Make nilijua tu huna data kuhusu mathematics na informatics! Make form4 ulipata f na haujui informatics ni nini! Na akili yako ni mbovu huna budi kujiunga na chama cha mataila. We ndo uliyenifikisha chuo kikuu? Kaendelee kureseat unakamatwa kila mwaka make akili yako nisawa na ya fenesi!
niko mwaka wa kwanza katika chuo kikuu kwa Bsc in INFORMATICS AND MATHEMATICS, ni semister ya kwanza sasa nimemaliza ila sijajua nikimaliza nitakuwa nani au nitafanya kazi gani!! msinishangae au kunidharau bali nikwasababu ya ubize maprof wanaonipa make kuna assynment kibao,test,quiz na endout mpaka nakosa mda wa kuuliza kichwa changu na kutafakali nitakuwa nani!naomba kwa waliosoma kozi ya ivo mniambie mnafanyakazi gani? au kama una ndugu yako amesoma hayo mambo naomba uniambie anafanya kazi gani. NITASHUKRU KWA USHILIKIANO WENU
umekalili eti SUA ni kilimo tu! kuna kozi nyigi sana, matokeo ya SUA nina 1'st class na GPA ya 4.3 we una division 4 ya ngapi katika mtihani wa kidato cha nne?
Nko TABORA BOYS NAFUNDISHA MATHEMATICS V NA VI! VIPI WEWE UMEFIKIA WAPI NA BAHASHA?
Ilikuwa mwaka 2010 wakati wa campaign za kikwete,akasema walimu ni..............! sa ivi vanaosoma kozi zisizo za ualimu wanaona wao ndo walifaulu mitihani ya kidato cha 4 na 6! na hawajui kuwa wataenda kubebelea baasha wakiwa wanatafuta kaz! sa walimu tufanye ivi kwasasa tuna mtaji walau wa kuanzisha kakibanda katakako2fanya 2savave!!! tuache ualimu walau kwa mwaka mmoja tuone hao wanaojidai kama watatokea tena!!!!!!!!!!!! au walim mnasemaje
kwa taalifa yako nina dvn one ya point 7 PCM na nimesoma katika chuo kikuu cha sokoine(SUA) Bsce(INFORMATICS AND MATHEMATICS) sa ivi ni mwalimu wa shule kubwa inayozalisha dvn 1 kila mwaka usione term hii serikali imetufanyia udwanzi
Unapokuwa mwongo unapaswa uwe na kumbukumbu we dogo.... Haya si umeyaandika wewe??
Au ngoja niwawekee wadau link ya uozo wako ili waspoteze muda kubishana na wewe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...1968-walimu-tufanye-ivi-kukomesha-dhalau.html
Ukiangalia kwa makini sana, hiyo SUA iko kwenye ndoto zake. Na hii yote ni kukata tamaa baada ya matokeo ya kidato cha nne.Duuuh, sasa huyu mtu nimueleweje? Mara kamaliza SUA, mara anafundisha Tabora Boys, sasa yuko 1st yr...
Ctaki kusema k2, naogopa matusi yake anavyoporomosha ni balaaa!!!!
Ama kweli, njia ya mwongo ni fupi!.
nilitaka nipime akili yako! Make nilijua tu huna data kuhusu mathematics na informatics! Make form4 ulipata f na haujui informatics ni nini! Na akili yako ni mbovu huna budi kujiunga na chama cha mataila. We ndo uliyenifikisha chuo kikuu? Kaendelee kureseat unakamatwa kila mwaka make akili yako nisawa na ya fenesi!
Unapokuwa mwongo unapaswa uwe na kumbukumbu we dogo.... Haya si umeyaandika wewe??
Au ngoja niwawekee wadau link ya uozo wako ili waspoteze muda kubishana na wewe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...1968-walimu-tufanye-ivi-kukomesha-dhalau.html
Unapokuwa mwongo unapaswa uwe na kumbukumbu we dogo.... Haya si umeyaandika wewe??
Au ngoja niwawekee wadau link ya uozo wako ili waspoteze muda kubishana na wewe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...1968-walimu-tufanye-ivi-kukomesha-dhalau.html
Unapokuwa mwongo unapaswa uwe na kumbukumbu we dogo.... Haya si umeyaandika wewe??
Au ngoja niwawekee wadau link ya uozo wako ili waspoteze muda kubishana na wewe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...1968-walimu-tufanye-ivi-kukomesha-dhalau.html
Ukisoma hiyo kitu unakua mwongo mwongo tena asie na kumbu kumbu kama wewe.
miye nakutusi kwanza kama utachukia pouwa tu huna akili, alafu ni mjinga nakushauri acha chuo tu maana hujitambui so hata ukisoma at the end utashindwa apply ur knowledge maana hujitambui wewe so rudi home ukijua unataka nini na uwe nani basi rudi shule byue.
Unapokuwa mwongo unapaswa uwe na kumbukumbu we dogo.... Haya si umeyaandika wewe??
Au ngoja niwawekee wadau link ya uozo wako ili waspoteze muda kubishana na wewe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...1968-walimu-tufanye-ivi-kukomesha-dhalau.html