Nassari: Mikusanyiko isiyo halali haitakiwi, kinachofanywa na CCM ni ukaguzi wa ilani ya chama

Nassari: Mikusanyiko isiyo halali haitakiwi, kinachofanywa na CCM ni ukaguzi wa ilani ya chama

Ni hatari sana kumuamini mtu mwenye njaa, hawa vijana wanaotoka shule na kujiunga na siasa za vyama hawafai kuaminiwa kabisa, Ni wakati wa kuamini vijana proffesional waliofanyan kazi huku na kule na kumiliki uchumi mkubwa.

Kuwekeza kwa hawa wanasiasa njaa njaa kuna madhara makubwa kwa jamii, wengi hulewa sana madaraka na hela kiasi cha kuwa tayari kufanya lolote lile hata kula mavi na kuyaita keki.

Wanasiasa njaa ni rahisi sana kugeuka maana hawana namna nyingine ya kupata hela au akili mpya ya kutafuta hela, CCM kwa bahati nzuri inawajua vizuri sana na imewafanya uwekezaji mkubwa sana kwa ajili ya hawa watu njaa njaa na waganga wa kienyeji.

Huwezi kukuta mtu aliyewahi kushika na kuitafuta hela kuanzia 200mil kwenda juu nje ya siasa akawa mjinga mjinga hivi.
 
Ilikuaje ulikesha nae wapi mkuu?

Emu tupe info hapo tuna maelezo hayajajitolosheza

😳🥺

..itakuwa wakati wa kampeni za uchaguzi zilizomuingiza Nassari bungeni kwa mara ya kwanza.

..zilikuwa kampeni ngumu sana na kuna ukatili dhidi ya Chadema ulifanyika na kuna watu waliumia na inasemekana yupo aliyepoteza maisha.

..Sasa Nassari amewasahau waliompigania, ameungana na waliokuwa wakimtesa, na zaidi anaiga lugha zao za tambo na vitisho.
 
Joshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya Mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
" Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi, kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata Chadema au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lkn kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata" aliongezea Nassari.
Kameru haka analamba Asalii
Bwana

Asali ni tamuuuu weeee is


Nzi angeacha upashukuna angetengeneza asali Nayeye.

Tofauti na sasa anavyoambukiza magonjwa
 
Joshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya Mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
" Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi, kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata Chadema au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lkn kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata" aliongezea Nassari.
Safi.. mikutano hadi mwaka wa uchaguzi
 
Joshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya Mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
" Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi, kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata Chadema au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lkn kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata" aliongezea Nassari.
Mungu atawalipa wanachokipanda.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ulikua primary enzi hizo huwez elewa
Primary menstrual cycle au primary nini bibi?

Huyu dogo wa juzi unadhani Mimi simjui kinda ananuka maziwa ya mama yake mtoto mdogo kabisa
🤪
Umesema ulilala nae usiku ndio nikauliza wapi?
😳😬😜
 
Watu wanapambana aisee.

Na sasa hivi kuna VX Mpya.

Nani asiyezitaka??
 
Back
Top Bottom