Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu ya Mungu ni muhimu kuliko VieiteeWatu wanapambana aisee.
Na sasa hivi kuna VX Mpya.
Nani asiyezitaka??
Kajamaa kajinga kweli!Joshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya Mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
" Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi, kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata Chadema au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lkn kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata" aliongezea Nassari.
Lissu sio Homo, na ni Mwanaume wa shoka, keshalipwa HAKI zake alizozulumiwa na Mwendazake kushirikiana na Ndugai.Mhhh!!! Lissu kaolewa na Amsterdam?
Huyu mbilikimo naye ameshajitoa ufahamuJoshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya Mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
" Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi, kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata Chadema au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lkn kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata" aliongezea Nassari.
AnajilaaniJoshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya Mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
" Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi, kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata Chadema au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lkn kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata" aliongezea Nassari.
Nenda kwenye akaunti yake ya Twita kamuulize.Kwanini Lissu kaolewa ubelgiji?
View attachment 2346609
Juzi juzi tu huyu alikuwa akiimba Pipoz pawa!
Alishakubali uchapa kazi wa mh Rais na hata hanaa Sera Wala ajenda ya kuweza kuwashawishi watanzania Hawa wanaomuu ga mkono mh Rais wetu wakaweza kunielewa, Ndio maana unaona kajikalia hukohuko, kaa hapo hapo mpaka lisu aje akuchukueLissu aje haraka tuanze kutembelea Mikoa yote tukague uhai wa Chama.
Mimi sibishi Raisi wetu mpendwa anapiga kazi hilo halina ubishi, lakini wasimtishe kuwa Upinzani utamletea matata,Alishakubali uchapa kazi wa mh Rais na hata hanaa Sera Wala ajenda ya kuweza kuwashawishi watanzania Hawa wanaomuu ga mkono mh Rais wetu wakaweza kunielewa, Ndio maana unaona kajikalia hukohuko, kaa hapo hapo mpaka lisu aje akuchukue
Suala la katiba Kuna kikosi kazi kimeundwa kuratibu maoni kw hiyo nenda ukatoe mawazo yako huko utasikilizwaMimi sibishi Raisi wetu mpendwa anapiga kazi hilo halina ubishi, lakini wasimtishe kuwa Upinzani utamletea matata,
Mbona Rais wetu mpedwa mstaafu Mzee Jakaya Kikwete aliuruhisu Wastawi tunataka tuingize hata Wabunge 80 wa Upinzani latika Bunge lijalo
Na atupatie Katiba Mpya .
Mwanasiasa usimwekee dhamanaNyoko kweli wewe nasari....ulinifanya nikakesha kwaajili yako .mbwa wewe
Tangu lini mtu anajikagua mwenyewe? Kama kweli ni ukaguzi, kazi hiyo ilipaswa ifanywe na vyama vya upinzani. Kama vile taasisi inakaguliwa na auditors na sio wahasibu wake.Joshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya Mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
" Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi, kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata Chadema au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lkn kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata" aliongezea Nassari.
Mwacheni aendelee kujisahau kama sabaya na inaonekana maeneo ya Kanda hizo vijana huwa wanajisahau sana sijui kwa nn lzm Kuna ka ugonjwa kapo huko.na huwa wanajielewa wakitumbukia kwenye mkono wa sheria .Joshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya Mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
" Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi, kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata Chadema au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lkn kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata" aliongezea Nassari.
Primary menstrual cycle au primary nini bibi?
Huyu dogo wa juzi unadhani Mimi simjui kinda ananuka maziwa ya mama yake mtoto mdogo kabisa
🤪
Umesema ulilala nae usiku ndio nikauliza wapi?
😳😬😜