Nassib Abdul a.k.a Diamond Unadhalilisha Wanaume Wenzio

Sure kiongozi, kama tunampenda diamond kiukweli, afanye kurudiana na zari, siamini katika nyota, ila naamini katika mvuto kwa jamii, diamond anavutia akiwa na Zari, toka waachane, hata ukimuangalia havutiii kama diamond wa Iyena iyena,,,,,,,,,,,,,,sasa mimi na sasambua,,,,,,sasa,,,,,,,
 
Mond analalama kachapiwa na Peter wa
P-Square.... Kaazi kwl kwl..
 
Sasa mkuu hiyo clip umeiona wewe lkn unatuambia sisi tuongezee!!!halafu mtu ushajua ana matatizo nguvu ya kumdiscuss unaitolea wapi!!?au unampenda kimya kimya umekasirika ulichokiona huko kwenye clip!?UMENIPA MASWALI MENGI EWEW KULIKO HIYO CLIP.
Dah
 
Sasa mkuu hiyo clip umeiona wewe lkn unatuambia sisi tuongezee!!!halafu mtu ushajua ana matatizo nguvu ya kumdiscuss unaitolea wapi!!?au unampenda kimya kimya umekasirika ulichokiona huko kwenye clip!?UMENIPA MASWALI MENGI EWEW KULIKO HIYO CLIP.
Kumpenda Diamond ni sawa na kumpenda Rais wako bakti mbaya hua sipendi takataka kama hizo.

Ukiacha kuvuta sigara au kunywa pombe siku mbili tatu utajua kua huyo mtu ni mshenzi.
 
Kumpenda Diamond ni sawa na kumpenda Rais wako bakti mbaya hua sipendi takataka kama hizo.

Ukiacha kuvuta sigara au kunywa pombe siku mbili tatu utajua kua huyo mtu ni mshenzi.
So rais wa nchi na diamond kwako ewew Ni takataka chief!!?
 
Kumjadili huyo huyo mvulana ni kupoteza muda.

Alishawadhalilisha sana toka huko alikoanzia lbd km wengine mmemsahau,,kwa ZARI ni muendelezo wa upumbavu alionao.
[emoji57][emoji57][emoji57]
Na bado atawanyoosha sana,na Mondi ndio Mwanaume wa Kiafrika anayetakiwa kuigwa kwa jitihada binafsi kikazi mpaka Tabia.
 
Jando na unyago mliviita vya kishenzi.......................madhara yake ndio haya
 

kwani kuna ajabu gani kuwa hata wao mashoga wewe unajua siri zao
 
Uyu mkaka kashakua ni Chocolate favor kabisaaa
 
Hilo Jimama linaitwa Kumba Uhange.

Wanawake wa Kiganda hapo Domo alipotea.
Waliopita pita Uganda watanielewa.
 
Y
You went beyond mere stories, good!
 
Wanaume kumjadili mwanaume nadhaifu yake wakati mnajua alipo na mnajua Akaunti zke HUO ndio umama uliotukuka...Mwanaume wa kweli Hukaa kimya na kama kweli kaamua kumrekebisha muhusika humfata DIRECT...kama pia kaamua kumchana makavu huwa anamfata DIRECT kuneng'eneka huku wakati mwanaume mwenzako anapotea Huo ndio u.JAMES DELICIOUS.
 
Wanaume kumjadili mwanaume MADHAIFU yake wakati mnajua alipo na mnajua Akaunti zke HUO ndio umama uliotukuka...Mwanaume wa kweli Hukaa kimya na kama kweli kaamua kumrekebisha muhusika humfata DIRECT...kama pia kaamua kumchana makavu huwa anamfata DIRECT kuneng'eneka huku wakati mwanaume mwenzako anapotea Huo ndio u.JAMES DELICIOUS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…