Nasubiri kuona adhabu kali kwa Moloko na Gamondi kwa waliyokuwa wakiyafanya jana uwanjani kabla mchezo haujaanza

Nasubiri kuona adhabu kali kwa Moloko na Gamondi kwa waliyokuwa wakiyafanya jana uwanjani kabla mchezo haujaanza

Kwanza, Yanga walipitia mlango usiokuwa rasmi.

Pili, Wakati wanakagua uwanja kuna vitu vilikuwa vinamwagwa uwanjani halafu vinashindiliwa
Moloko alionekana katika kibendera akikanyaga vitu vilivyokuwa vinamwagwa na mwenzake.

Golini upande wa kusini wakawa wanamwaga vitu na kuvikanyaga

Hayo ndiyo niliyoyaona jana achilia mbali aziz key kuambiwa awe wa mwisho kuingia uwanjani, sijasahau basi lao hawakupanda jana wakapanda vigari vingine vya ajabu, haya yote wenye mpira wanaona.

Tunasubiri
MPAKA USEME
 
Kwanza, Yanga walipitia mlango usiokuwa rasmi.

Pili, Wakati wanakagua uwanja kuna vitu vilikuwa vinamwagwa uwanjani halafu vinashindiliwa
Moloko alionekana katika kibendera akikanyaga vitu vilivyokuwa vinamwagwa na mwenzake.

Golini upande wa kusini wakawa wanamwaga vitu na kuvikanyaga

Hayo ndiyo niliyoyaona jana achilia mbali aziz key kuambiwa awe wa mwisho kuingia uwanjani, sijasahau basi lao hawakupanda jana wakapanda vigari vingine vya ajabu, haya yote wenye mpira wanaona.

Tunasubiri
Bado Hamjasema [emoji1]
 
Kwanza, Yanga walipitia mlango usiokuwa rasmi.

Pili, Wakati wanakagua uwanja kuna vitu vilikuwa vinamwagwa uwanjani halafu vinashindiliwa
Moloko alionekana katika kibendera akikanyaga vitu vilivyokuwa vinamwagwa na mwenzake.

Golini upande wa kusini wakawa wanamwaga vitu na kuvikanyaga

Hayo ndiyo niliyoyaona jana achilia mbali aziz key kuambiwa awe wa mwisho kuingia uwanjani, sijasahau basi lao hawakupanda jana wakapanda vigari vingine vya ajabu, haya yote wenye mpira wanaona.

Tunasubiri
Moloko mwenyewe alicheza namba ngapi?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza, Yanga walipitia mlango usiokuwa rasmi.

Pili, Wakati wanakagua uwanja kuna vitu vilikuwa vinamwagwa uwanjani halafu vinashindiliwa
Moloko alionekana katika kibendera akikanyaga vitu vilivyokuwa vinamwagwa na mwenzake.

Golini upande wa kusini wakawa wanamwaga vitu na kuvikanyaga

Hayo ndiyo niliyoyaona jana achilia mbali aziz key kuambiwa awe wa mwisho kuingia uwanjani, sijasahau basi lao hawakupanda jana wakapanda vigari vingine vya ajabu, haya yote wenye mpira wanaona.

Tunasubiri
Aaahaaa
 
Jumamosi usiku .. kamati ya ufundi ilikua busy sana uwanja wa taifa mageti yote yakuingilia.
 
Utakuja kufa kwa kihoro wewe bwege mtoezeni sasa mbona ujatuambia Master Gamondi alifanya kipi?
 
Bado najiuliza wale walikuwa wanasema Simba wachawi bado ule msemo upo kwa matukio Yale ya jumapili
 
Ni michawi kama michawi mingine...
Screenshot_20231106-180948_Instagram.jpg
 
KABLA YA DERBY YA KARIAKOO
ROBERTINHO "I'm the king of derby and big match and I like playing big match/ mm ni mfalme wa gemu kubwa na napenda kucheza mechi kubwa"
Robertinho hapa alikuwa kashiba makande
 
Back
Top Bottom