Nasubiri Uchambuzi wa Yericko Nyerere Sakata la Kariakoo na Ujasusi wa Kiuchumi (Biashara)

Nasubiri Uchambuzi wa Yericko Nyerere Sakata la Kariakoo na Ujasusi wa Kiuchumi (Biashara)

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Ndugu zangu tusipige tu kelele kama watu wasiokuwa na mwelekeo bali tulitazame sakata la Wafanya biashara wa kariakoo kwa Angle kubwa ikiwemo athari za Kiuchumi, kisiasa na kiusalama ktk Nchi.

Natamani kusikia yule mtaalam wa uchambuzi wa siasa za kiintelijensia ya uchumi (financial matters) na kidola.

Hapa lazima tuangazie kama hakuna kichomi kweli kimetuingilia au it just happened tu?

Maana katika huu ukanda wa Afrika mashariki kuna ushindani mkubwa wa kiuchumi na miji na majiji yanaokaribiana uwezo na Dar Es Salaam.

Tusichukulie mambo poa.

Karibu Yerricko Nyerere tunatamani kukusikia neno lako.
 
Ikumbukwe ukizorotesha Dar umezorotesha Tanzania.
 
Usimsubiri YERRICKO elewa kwamba CCM ina watu dhaifu sana kufikiria na kama haitoshi kuna wachache wanafikiria kwa maskahi yao na sio maslahi ya Taifa. Sheria walitunga wenyewe licha ya wadau kutoa maoni yao wakati muswada unaandaliwa leo hii sheria inaanza kutekelezwa inaleta mgogoro hao hao CCM wanakuja kuitengua sasa unadhami CCM inatumia akili au tope?
 
Usimsubiri YERRICKO elewa kwamba CCM ina watu dhaifu sana kufikiria na kama haitoshi kuna wachache wanafikiria kwa maskahi yao na sio maslahi ya Taifa. Sheria walitunga wenyewe licha ya wadau kutoa maoni yao wakati muswada unaandaliwa leo hii sheria inaanza kutekelezwa inaleta mgogoro hao hao CCM wanakuja kuitengua sasa unadhami CCM inatumia akili au tope??????
Sawa ngoja tusikilize wataalam wengine wanasemaje
 
Usimsubiri YERRICKO elewa kwamba CCM ina watu dhaifu sana kufikiria na kama haitoshi kuna wachache wanafikiria kwa maskahi yao na sio maslahi ya Taifa. Sheria walitunga wenyewe licha ya wadau kutoa maoni yao wakati muswada unaandaliwa leo hii sheria inaanza kutekelezwa inaleta mgogoro hao hao CCM wanakuja kuitengua sasa unadhami CCM inatumia akili au tope??????
Mambi ni mengi muda mchache sana
 
Ndugu zangu tusipige tu kelele kama watu wasiokuwa na mwelekeo bali tulitazame sakata la Wafanya biashara wa kariakoo kwa Angle kubwa ikiwemo athari za Kiuchumi, kisiasa na kiusalama ktk Nchi.

Natamani kusikia yule mtaalam wa uchambuzi wa siasa za kiintelijensia ya uchumi( financial matters) na kidola.

Hapa lazima tuangazie kama hakuna kichomi kweli kimetuingilia au it just happened tu?

Maana katika huu ukanda wa Afrika mashariki kuna ushindani mkubwa wa kiuchumi na miji na majiji yanaokaribiana uwezo na Dar Es Salaam.

Tusichukulie mambo poa.

Karibu Yerricko Nyerere tunatamani kukusikia neno lako.
Kuna mwamba alisem alipewa Bandari ya Dar anaweza kuilisha afrika nzima bure🤣🤣
 
Usimsubiri YERRICKO elewa kwamba CCM ina watu dhaifu sana kufikiria na kama haitoshi kuna wachache wanafikiria kwa maskahi yao na sio maslahi ya Taifa. Sheria walitunga wenyewe licha ya wadau kutoa maoni yao wakati muswada unaandaliwa leo hii sheria inaanza kutekelezwa inaleta mgogoro hao hao CCM wanakuja kuitengua sasa unadhami CCM inatumia akili au tope?
Naona Yericko kapotea
 
Ndugu zangu tusipige tu kelele kama watu wasiokuwa na mwelekeo bali tulitazame sakata la Wafanya biashara wa kariakoo kwa Angle kubwa ikiwemo athari za Kiuchumi, kisiasa na kiusalama ktk Nchi.

Natamani kusikia yule mtaalam wa uchambuzi wa siasa za kiintelijensia ya uchumi (financial matters) na kidola.

Hapa lazima tuangazie kama hakuna kichomi kweli kimetuingilia au it just happened tu?

Maana katika huu ukanda wa Afrika mashariki kuna ushindani mkubwa wa kiuchumi na miji na majiji yanaokaribiana uwezo na Dar Es Salaam.

Tusichukulie mambo poa.

Karibu Yerricko Nyerere tunatamani kukusikia neno lako.
Hakika

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu tusipige tu kelele kama watu wasiokuwa na mwelekeo bali tulitazame sakata la Wafanya biashara wa kariakoo kwa Angle kubwa ikiwemo athari za Kiuchumi, kisiasa na kiusalama ktk Nchi.

Natamani kusikia yule mtaalam wa uchambuzi wa siasa za kiintelijensia ya uchumi (financial matters) na kidola.

Hapa lazima tuangazie kama hakuna kichomi kweli kimetuingilia au it just happened tu?

Maana katika huu ukanda wa Afrika mashariki kuna ushindani mkubwa wa kiuchumi na miji na majiji yanaokaribiana uwezo na Dar Es Salaam.

Tusichukulie mambo poa.

Karibu Yerricko Nyerere tunatamani kukusikia neno lako.
[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom