Uchaguzi 2020 Nasubiri wasusie Uchaguzi Mkuu

Hata ule wa Serikali za Mitaa hawakususa mwanzo hadi walivyoona wagombea wao wameondolewa kwa mizengwe ndiyo wakajitoa. Kama hali itakuwa Kama ya uchaguzi wa Serikali za mitaa ni bora wakafanya kama walivyofanya.
 
Hata ule wa Serikali za Mitaa hawakususa mwanzo hadi walivyoona wagombea wao wameondolewa kwa mizengwe ndiyo wakajitoa. Kama hali itakuwa Kama ya uchaguzi wa Serikali za mitaa ni bora wakafanya kama walivyofanya.
Dogo, jitahidi sana kutafuta taarifa sahihi. Na ukifanya hivyo, hutawaamini tena hao jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…