Nasubiria kusikia Adhabu Kali kutoka TFF kwa Mshambuliaji Mayele na Kocha Nabi

Nasubiria kusikia Adhabu Kali kutoka TFF kwa Mshambuliaji Mayele na Kocha Nabi

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Mayele alidhamiria kwenda Kumpiga Mchezaji Muzamir Yasini kabla hajazuiliwa na Mchezaji wa Simba SC Saido Ntibanzonkiza jambo ambalo Kikanuni ni Kosa Kubwa.

Najua kuna Mazuzu ( Majuha ) watamtetea kuwa hakufanya hilo Tukio ila Kisheria siyo lazime mpaka awe ametenda hicho Kitendo ila kinachoangaliwa na Kuhukumiwa ni Dhamira ( Nia ) aliyokuwa nayo kabla.

Kocha Nabi kaudhalilisha Mpira wetu na Ligi Kuu yetu ya NBC kwa kusema kuwa Simba SC ilipendelewa, Refa hakuwa Fair na kwamba Goli la Kwanza la Simba SC halikuwa halali na kutoa maneno ya Kashfa kwa TFF na Wadau wa Soka nchini.
 
96a9d8d3-de0c-47f5-b544-1e80bc849776.jpg
 
Subirini mechi ya mwisho au fainali ya Azam CC (FA) mlete refa wenu mupne mtakavyotandika nyingi.
 
Mayele alidhamiria kwenda Kumpiga Mchezaji Muzamir Yasini kabla hajazuiliwa na Mchezaji wa Simba SC Saido Ntibanzonkiza jambo ambalo Kikanuni ni Kosa Kubwa.

Najua kuna Mazuzu ( Majuha ) watamtetea kuwa hakufanya hilo Tukio ila Kisheria siyo lazime mpaka awe ametenda hicho Kitendo ila kinachoangaliwa na Kuhukumiwa ni Dhamira ( Nia ) aliyokuwa nayo kabla.

Kocha Nabi kaudhalilisha Mpira wetu na Ligi Kuu yetu ya NBC kwa kusema kuwa Simba SC ilipendelewa, Refa hakuwa Fair na kwamba Goli la Kwanza la Simba SC halikuwa halali na kutoa maneno ya Kashfa kwa TFF na Wadau wa Soka nchini.


Hatuongei sana ni za uso tu🤣🤣🤣🤣
 
Mayele alidhamiria kwenda Kumpiga Mchezaji Muzamir Yasini kabla hajazuiliwa na Mchezaji wa Simba SC Saido Ntibanzonkiza jambo ambalo Kikanuni ni Kosa Kubwa.

Najua kuna Mazuzu ( Majuha ) watamtetea kuwa hakufanya hilo Tukio ila Kisheria siyo lazime mpaka awe ametenda hicho Kitendo ila kinachoangaliwa na Kuhukumiwa ni Dhamira ( Nia ) aliyokuwa nayo kabla.

Kocha Nabi kaudhalilisha Mpira wetu na Ligi Kuu yetu ya NBC kwa kusema kuwa Simba SC ilipendelewa, Refa hakuwa Fair na kwamba Goli la Kwanza la Simba SC halikuwa halali na kutoa maneno ya Kashfa kwa TFF na Wadau wa Soka nchini.
nabi nimemsikia hakumdhalilisha mtu yoyote,alisema wanataka refa mwenye hofu ya Mungu hilo sio tusi
kitendo cha mzamiru kumpiga kipepsi mayele kwenye uti wa mgongo ni nia ovu kabisa na ni lazima kichukuliwe hatua kali
 
Hichi kitimu ni cha kijinga sana wakishinda wana timu bora africa wakifungwa wanasema refa kasababisha.

Kama hutaki kugusana kacheze draft.
nabi nimemsikia hakumdhalilisha mtu yoyote,alisema wanataka refa mwenye hofu ya Mungu hilo sio tusi
kitendo cha mzamiru kumpiga kipepsi mayele kwenye uti wa mgongo ni nia ovu kabisa na ni lazima kichukuliwe hatua kali
 
Tukianza kuleta mlolongo wa madhaifu ya refa kwenye mechi zenu za NBC PL mtarudi mpaka nafasi ya 5 kaeni kimya tu na kuongoza ligi kwenu kwa mchongo
kweli mkuu sisi tukiwa nafasi ya 5 wewe utakuwa umeshuka daraja
 
Tukianza kuleta mlolongo wa madhaifu ya refa kwenye mechi zenu za NBC PL mtarudi mpaka nafasi ya 5 kaeni kimya tu na kuongoza ligi kwenu kwa mchongo
Na kundi la caf kwa mchongo 😄😄😄💚💚💚
 
Back
Top Bottom