Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda makalio ya mwenzio?!Kibu Denis alipommanua Djigui Diara jana. Nimependa sana Diara alivyojipinda na Makalio yake kuyainua kwa juu kama anavyoonekana hapa ( hapo ) Pichani.
we gentamycine bwana una vitukoMayele alidhamiria kwenda Kumpiga Mchezaji Muzamir Yasini kabla hajazuiliwa na Mchezaji wa Simba SC Saido Ntibanzonkiza jambo ambalo Kikanuni ni Kosa Kubwa.
Najua kuna Mazuzu ( Majuha ) watamtetea kuwa hakufanya hilo Tukio ila Kisheria siyo lazime mpaka awe ametenda hicho Kitendo ila kinachoangaliwa na Kuhukumiwa ni Dhamira ( Nia ) aliyokuwa nayo kabla.
Kocha Nabi kaudhalilisha Mpira wetu na Ligi Kuu yetu ya NBC kwa kusema kuwa Simba SC ilipendelewa, Refa hakuwa Fair na kwamba Goli la Kwanza la Simba SC halikuwa halali na kutoa maneno ya Kashfa kwa TFF na Wadau wa Soka nchini.
Aliyekuzaa Kamaliza yake?Upo period?
Hapana muda huo tutakuw tunaongoza ligikweli mkuu sisi tukiwa nafasi ya 5 wewe utakuwa umeshuka daraja
Shidani huo mwiko huko nyuma?Na kundi la caf kwa mchongo 😄😄😄💚💚💚
Rage ana mademu wengi sana huko YangaRAGE APEWE TUZO View attachment 2591402
Uliyenizaa ni wewe hapoAliyekuzaa Kamaliza yake?
Pumbavu.Uliyenizaa ni wewe hapo
Ila mayele ni zuzu, kucheza yanga kwake anajiona kamaliza. Anajidekeza sana. Hataki aguswe kabisa mpaka wakati mwingine anawanyima yanga magoli kwa kudeka kwake. Akihisi anakutana na mtu anaachia mpira kirahisi tu. Sasa akikuta na miti mikavu kama inonga, mzamilu au onyango, anahangaika kuhama namba mpaka jua linakuchwa.Mpira ni mchezo wa contact sio drafti au tennis.Unaleta wachezaji legelege wakiguswa wanakuwa kama wamepigwa risasi.
Kachezeni mduara kama football imewashinda.
WASHAZOEA KUBEBWAMayele alidhamiria kwenda Kumpiga Mchezaji Muzamir Yasini kabla hajazuiliwa na Mchezaji wa Simba SC Saido Ntibanzonkiza jambo ambalo Kikanuni ni Kosa Kubwa.
Najua kuna Mazuzu ( Majuha ) watamtetea kuwa hakufanya hilo Tukio ila Kisheria siyo lazime mpaka awe ametenda hicho Kitendo ila kinachoangaliwa na Kuhukumiwa ni Dhamira ( Nia ) aliyokuwa nayo kabla.
Kocha Nabi kaudhalilisha Mpira wetu na Ligi Kuu yetu ya NBC kwa kusema kuwa Simba SC ilipendelewa, Refa hakuwa Fair na kwamba Goli la Kwanza la Simba SC halikuwa halali na kutoa maneno ya Kashfa kwa TFF na Wadau wa Soka nchini.
Process wa Mazuzu aliwaaminisha Uto mechi Ni rahisi. Uto walikuwa kwenye ndoto za kuifunga Kagera sugar goli 5.Una tafta umaarufu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila mayele ni zuzu, kucheza yanga kwake anajiona kamaliza. Anajidekeza sana. Hataki aguswe kabisa mpaka wakati mwingine anawanyima yanga magoli kwa kudeka kwake. Akihisi anakutana na mtu anaachia mpira kirahisi tu. Sasa akikuta na miti mikavu kama inonga, mzamilu au onyango, anahangaika kuhama namba mpaka jua linakuchwa.