Nasubiria kusikia Adhabu Kali kutoka TFF kwa Mshambuliaji Mayele na Kocha Nabi

Nasubiria kusikia Adhabu Kali kutoka TFF kwa Mshambuliaji Mayele na Kocha Nabi

RAGE APEWE TUZO
JamiiForums-2113514813.jpg
 
Kibu Denis alipommanua Djigui Diara jana. Nimependa sana Diara alivyojipinda na Makalio yake kuyainua kwa juu kama anavyoonekana hapa ( hapo ) Pichani.
Unapenda makalio ya mwenzio?!
 
Mayele alidhamiria kwenda Kumpiga Mchezaji Muzamir Yasini kabla hajazuiliwa na Mchezaji wa Simba SC Saido Ntibanzonkiza jambo ambalo Kikanuni ni Kosa Kubwa.

Najua kuna Mazuzu ( Majuha ) watamtetea kuwa hakufanya hilo Tukio ila Kisheria siyo lazime mpaka awe ametenda hicho Kitendo ila kinachoangaliwa na Kuhukumiwa ni Dhamira ( Nia ) aliyokuwa nayo kabla.

Kocha Nabi kaudhalilisha Mpira wetu na Ligi Kuu yetu ya NBC kwa kusema kuwa Simba SC ilipendelewa, Refa hakuwa Fair na kwamba Goli la Kwanza la Simba SC halikuwa halali na kutoa maneno ya Kashfa kwa TFF na Wadau wa Soka nchini.
we gentamycine bwana una vituko
 
Mpira ni mchezo wa contact sio drafti au tennis.Unaleta wachezaji legelege wakiguswa wanakuwa kama wamepigwa risasi.
Kachezeni mduara kama football imewashinda.
Ila mayele ni zuzu, kucheza yanga kwake anajiona kamaliza. Anajidekeza sana. Hataki aguswe kabisa mpaka wakati mwingine anawanyima yanga magoli kwa kudeka kwake. Akihisi anakutana na mtu anaachia mpira kirahisi tu. Sasa akikuta na miti mikavu kama inonga, mzamilu au onyango, anahangaika kuhama namba mpaka jua linakuchwa.
 
Mtu umeanzisha Uzi huku umepaniki unategemea nini? Kuna mambo kwenye kuchanganua tumia uhalisia na sio hisia. Mayele apewe adhabu kwa kosa Gani? Mpira umeanza kuangalia lini? Scenario kama hiyo ndio imetokea mara ya kwanza kwenye hiyo mechi toka soka lianzishwe? Kama sivyo, wale walio-react namna Ile walipewa adhabu ipi? Je ni Tanzania tu?

Naomba niishie hapo..
 
Yanga kama Fenesi tu, nje miiba mingii kumbe ndani mtamu tu.
 
Mayele alidhamiria kwenda Kumpiga Mchezaji Muzamir Yasini kabla hajazuiliwa na Mchezaji wa Simba SC Saido Ntibanzonkiza jambo ambalo Kikanuni ni Kosa Kubwa.

Najua kuna Mazuzu ( Majuha ) watamtetea kuwa hakufanya hilo Tukio ila Kisheria siyo lazime mpaka awe ametenda hicho Kitendo ila kinachoangaliwa na Kuhukumiwa ni Dhamira ( Nia ) aliyokuwa nayo kabla.

Kocha Nabi kaudhalilisha Mpira wetu na Ligi Kuu yetu ya NBC kwa kusema kuwa Simba SC ilipendelewa, Refa hakuwa Fair na kwamba Goli la Kwanza la Simba SC halikuwa halali na kutoa maneno ya Kashfa kwa TFF na Wadau wa Soka nchini.
WASHAZOEA KUBEBWA
 
Una tafta umaarufu
Process wa Mazuzu aliwaaminisha Uto mechi Ni rahisi. Uto walikuwa kwenye ndoto za kuifunga Kagera sugar goli 5.

Unaidharau timu iliyofunga magoli 60 wakati wewe unayo 49.
 
Ila mayele ni zuzu, kucheza yanga kwake anajiona kamaliza. Anajidekeza sana. Hataki aguswe kabisa mpaka wakati mwingine anawanyima yanga magoli kwa kudeka kwake. Akihisi anakutana na mtu anaachia mpira kirahisi tu. Sasa akikuta na miti mikavu kama inonga, mzamilu au onyango, anahangaika kuhama namba mpaka jua linakuchwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom