Kool the gang
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 497
- 1,465
Binafsi sijui vita vya Ukraine itaisha lini, lakini naimani Kwamba Ile vita siku ikiisha tu, kutakuwa na ujenzi mkubwa sana wa miundombinu chini ya ufadhili wa nchi washirika wa Ukraine, ambao ni USA na mataifa ya EU, hivyo manpower kubwa sana itahijika na kazi zitakuwa nyingi sana za ujenzi. Bufa, The Icebreaker, Lusungo, Dr Matola PhD, britanicca Myahudi Jr II , Isanga family, Kim Jong Jr, Maghayo, Chaliifrancisco DR HAYA LAND, Jebel, Forgotten, Black Sniper, Masanja,Jimena, mwandende Richard mnaoje haya mawazo yangu wakuu?.