Nasubiria video ya Ali Kiba niikosoe

Nasubiria video ya Ali Kiba niikosoe

ma2mbo

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
697
Reaction score
326
Video ya Ali Kiba mpya sijaiona ila kwa kweli ni video mbaya mbaya sijapata kuona.

Ikitoka kazi yangu itakuwa ni kuikosoa tu.
 
Huyu Jamaa anakera kweli video inazinduliwa huko MTV sijui mnet wakat wabongo hatuna Haata pesa tuu za vifurush vya hapa local channels....

Sijui tutaionajee

YouTube kule pia haipo....

Daaah anyway aliyenaoyo aiweke tuichambue
 
Hahaha...mtoa mada
Kabla ya kuiona ushadiss
Hata Haters hawafanyi hivi
 
Sasa umejuaje kama ni mbaya wakati hata hujaiona??

Au umeoteshwa kwamba ni mbaya??
 
haki matumbo uzee unakujia vibaya.
 
Video ya Ali Kiba mpya sijaiona ila kwa kweli ni video mbaya mbaya sijapata kuona.

Ikitoka kazi yangu itakuwa ni kuikosoa tu.
mkuu video n mbaya cjapata ona kafuta mashairi ya msanii wa nigeria M.I na kuweka yke ya kifaransa yaan n mbaya aiseee afadhali video ya darubini kali ya afande sele n nzuri
cc pwilo
 
Ni bora hata usiione maana ni mbaya kuliko video zote zilizotoka mwaka huu,mi najuta kwanini nilipoteza muda wangu kuiangalia.
 
Ni bora hata usiione maana ni mbaya kuliko video zote zilizotoka mwaka huu,mi najuta kwanini nilipoteza muda wangu kuiangalia.
Video mbaya sana kiba anazidi kuchemka.
 
Hahaha...mtoa mada
Kabla ya kuiona ushadiss
Hata Haters hawafanyi hivi
Najiandaa kuiponda ata kama bado sijaiona ni mbaya haiendani na alichoimba.
 
Video mbaya sana kiba anazidi kuchemka.
Mi nashindwa kumuelewa au kwa vile zinagaramikiwa na menejimenti yake ndo mana zinakuwa mbaya kwa kuwa wanafuata unafuu.
 
Hahahahh!! Najuta hata kwanini nimepoteza muda wangu kucheka na kucomment
 
Mi nashindwa kumuelewa au kwa vile zinagaramikiwa na menejimenti yake ndo mana zinakuwa mbaya kwa kuwa wanafuata unafuu.

Benpol alisema jamaa ni overrated hakukosea, kamfuta mnaija alafu video kaenda kuzindua naija. Muda wake wakwenda kucheza ndondo umewadia.
 
Back
Top Bottom