Nasumbuliwa na kitu kukaba kooni nimezunguka bila kufanikisha

Nasumbuliwa na kitu kukaba kooni nimezunguka bila kufanikisha

Pole kwa kuumwa, kuna mambo muhimu ambayo ni ya kuzingatia ili kupata tiba sahihi:

1: Ni sehemu ipi ya koo?
2: Hii hali ilianzaje mfano: ghafla au taratibu?, inaongezeka au iko vilevile siku zote?
3: Kuna wakati unapata nafuu?
4: Vyakula unavyopendelea kula?
5: Ukimeza kuna maumivu au shida yoyote?
6: Umri?
7: Una matatizo yoyote ya maisha?/stress
8: Unapata shida yoyote kwenye kupumua?
9: Unapata shida yoyote kutoa sauti au kuongea?
10: Kuna kikohozi?
11: Kuna wakati unaamka usiku unajikuta kama ulikuwa umekabwa/kukosa hewa au kukohoa sana?

NB: Ni muhimu kupata majibu ya maswali haya na kuonwa na mtaalamu wa afya.
Shida inakuwa nn ukiona dalili hizo
 
Shida inakuwa nn ukiona dalili hizo

Kila kinachoelezwa hapo kina msaidia mtaalamu wa afya kuelekea karibu na tatizo la msingi au kuondoa fikra nyingine.

Mfano:
Kama hupati nafuu wakati wowote maana yake tatizo hili ni la muda wote au linazidi kadri muda unavyokwenda. Hivyo, fikra huelekezwa kwenye kitu kinachoweza kusababisha na kuwepo muda wote iwe ni kwa mwenendo wa maisha yake au kitu chenyewe husika.

Kama dalili hupotea basi shida hufikiriwa kwa vitu ambavyo huweza kuletwa na mwenendo wa maisha na hapo itaulizwa nini hufanywa na baadaye haya hutokea.

Umri:
kuna matatizo yanayoendana na umri au na matumizi ya vitu kama tumbaku nk.

Stress/msongo wa mawazo:
Kuna matatizoya koo kutokana na kuwa na maongo wa mawazo.

Hivyo, si lazima uwe na dalili zote isipokuwa baadhi yake ambazo nso zitaemdelea kudadavuliwa. Na kadri unavyojielezea kwa sehemu kubwa huelekea shida halisi.
 
Kila kinachoelezwa hapo kina msaidia mtaalamu wa afya kuelekea karibu na tatizo la msingi au kuondoa fikra nyingine.

Mfano:
Kama hupati nafuu wakati wowote maana yake tatizo hili ni la muda wote au linazidi kadri muda unavyokwenda. Hivyo, fikra huelekezwa kwenye kitu kinachoweza kusababisha na kuwepo muda wote iwe ni kwa mwenendo wa maisha yake au kitu chenyewe husika.

Kama dalili hupotea basi shida hufikiriwa kwa vitu ambavyo huweza kuletwa na mwenendo wa maisha na hapo itaulizwa nini hufanywa na baadaye haya hutokea.

Umri:
kuna matatizo yanayoendana na umri au na matumizi ya vitu kama tumbaku nk.

Stress/msongo wa mawazo:
Kuna matatizoya koo kutokana na kuwa na maongo wa mawazo.

Hivyo, si lazima uwe na dalili zote isipokuwa baadhi yake ambazo nso zitaemdelea kudadavuliwa. Na kadri unavyojielezea kwa sehemu kubwa huelekea shida halisi.
Mkuu hivi nikuchukua mboga mboga za majani nkaziweka ktk juicer ikatengeneza juisi yakimiminika ilitokana namboga mboga za majani nikinywa Kuna shida yoyote
 
Kuna mambo
Mkuu hivi nikuchukua mboga mboga za majani nkaziweka ktk juicer ikatengeneza juisi yakimiminika ilitokana namboga mboga za majani nikinywa Kuna shida yoyote

Unaweza kutengeneza kama una hitaji la muhimu kufanya hivyo, ila kuna mambo ya kuzingatia wakati unatengeneza:
1: Ni nzuri kukupatia vitamini, madini na kemikali nyingine zinazohitajika mwilini.

2: Uitumie kabla ya mlo kamili.

Ila:
1: Isitumike kama mbadala wa chakula cha kawaida.

2: Usitupe nyuzinyuzi zinazotokana na utengenezaji, bado ni muhimu pia.

3: Kunywa kwa kiasi kwani(glasi moja au mbili kwa siku) ukinywa nyingi kuna viambata kama oxalate ambavyo vinaweza kusababisha mwili usifyonze madini kwa kiasi kinachopasa.

4: Usafishaji kuzingatiwa sana kabla ya utengenezaji juisi.
 
Kuna mambo


Unaweza kutengeneza kama una hitaji la muhimu kufanya hivyo, ila kuna mambo ya kuzingatia wakati unatengeneza:
1: Ni nzuri kukupatia vitamini, madini na kemikali nyingine zinazohitajika mwilini.

2: Uitumie kabla ya mlo kamili.

Ila:
1: Isitumike kama mbadala wa chakula cha kawaida.

2: Usitupe nyuzinyuzi zinazotokana na utengenezaji, bado ni muhimu pia.

3: Kunywa kwa kiasi kwani(glasi moja au mbili kwa siku) ukinywa nyingi kuna viambata kama oxalate ambavyo vinaweza kusababisha mwili usifyonze madini kwa kiasi kinachopasa.

4: Usafishaji kuzingatiwa sana kabla ya utengenezaji juisi.
Usafishwaji wake ukoje
Nyuzi nyuzi unazosema zisitupwe ni haya makapi baada yakukamua
 
Kuna mambo


Unaweza kutengeneza kama una hitaji la muhimu kufanya hivyo, ila kuna mambo ya kuzingatia wakati unatengeneza:
1: Ni nzuri kukupatia vitamini, madini na kemikali nyingine zinazohitajika mwilini.

2: Uitumie kabla ya mlo kamili.

Ila:
1: Isitumike kama mbadala wa chakula cha kawaida.

2: Usitupe nyuzinyuzi zinazotokana na utengenezaji, bado ni muhimu pia.

3: Kunywa kwa kiasi kwani(glasi moja au mbili kwa siku) ukinywa nyingi kuna viambata kama oxalate ambavyo vinaweza kusababisha mwili usifyonze madini kwa kiasi kinachopasa.

4: Usafishaji kuzingatiwa sana kabla ya utengenezaji juisi.
Vipi kuhusu sumu za madawa maana nakua mboga mboga hazijapikwa kuuwa wadudu na sumu za dawa
 
Vipi kuhusu sumu za madawa maana nakua mboga mboga hazijapikwa kuuwa wadudu na sumu za dawa
Kuna utaratibu wa mboga zilizopuliziwa dawa zikae shambani muda gani kabla ya kuchumwa na pia maij ya kumwagilia yatoke kwenyevyanzo salama.

Kuwa na uhakika ni kuanzisha kishamba darasa nyumbani kama una nafasi unaweza kutimiza.
 
Kuna utaratibu wa mboga zilizopuliziwa dawa zikae shambani muda gani kabla ya kuchumwa na pia maij ya kumwagilia yatoke kwenyevyanzo salama.

Kuwa na uhakika ni kuanzisha kishamba darasa nyumbani kama una nafasi unaweza kutimiza.
Kwaiyo tunazotumia inatakiwa tuzioshaje kwa mfano mim naezisaga juice
 
Mkuu una kitu kinaitwa Acid reflux ambacho sio rahisi kukigundua , dawa yake inauzwa shs 6000 pharmacy ya maji , kama bado kupona unijulishe nikutumie hilo box la dawa mkuu ,
Hii acid reflux inaponyesha au only inafanya kupoozesha tu? Dawa inaitwaje?
 
Kila kinachoelezwa hapo kina msaidia mtaalamu wa afya kuelekea karibu na tatizo la msingi au kuondoa fikra nyingine.

Mfano:
Kama hupati nafuu wakati wowote maana yake tatizo hili ni la muda wote au linazidi kadri muda unavyokwenda. Hivyo, fikra huelekezwa kwenye kitu kinachoweza kusababisha na kuwepo muda wote iwe ni kwa mwenendo wa maisha yake au kitu chenyewe husika.

Kama dalili hupotea basi shida hufikiriwa kwa vitu ambavyo huweza kuletwa na mwenendo wa maisha na hapo itaulizwa nini hufanywa na baadaye haya hutokea.

Umri:
kuna matatizo yanayoendana na umri au na matumizi ya vitu kama tumbaku nk.

Stress/msongo wa mawazo:
Kuna matatizoya koo kutokana na kuwa na maongo wa mawazo.

Hivyo, si lazima uwe na dalili zote isipokuwa baadhi yake ambazo nso zitaemdelea kudadavuliwa. Na kadri unavyojielezea kwa sehemu kubwa huelekea shida halisi.
Mimi ninamiaka 26
tumbo linauma Kuna muda napata choo Cha kahawia pia na kiungulia na Koo linauma Kuna muda kinakauka na vidonda Kuna muda nahisi kukabwa na kitu natamani kulisafisha kwa kukohoa na pia likiuma sana sauti hukwaruza japo haidumu muda napata makohoz ila skohoi nahisi kama mafua kwa ndani nilianza kwenda hospital nkaambiwa na vidonda vya tumbo nikatibiwa na Bado natumia tangu mwezi wa kumi namoja lakini bado inatulia siku mbili tatu linaanza Tena nabadilishiwa midawa tyu so sijui shida kubwa nn
 
Mimi ninamiaka 26
tumbo linauma Kuna muda napata choo Cha kahawia pia na kiungulia na Koo linauma Kuna muda kinakauka na vidonda Kuna muda nahisi kukabwa na kitu natamani kulisafisha kwa kukohoa na pia likiuma sana sauti hukwaruza japo haidumu muda napata makohoz ila skohoi nahisi kama mafua kwa ndani nilianza kwenda hospital nkaambiwa na vidonda vya tumbo nikatibiwa na Bado natumia tangu mwezi wa kumi namoja lakini bado inatulia siku mbili tatu linaanza Tena nabadilishiwa midawa tyu so sijui shida kubwa nn
Ila nakula vizuri bila shida yoyote
 
Mkuu una kitu kinaitwa Acid reflux ambacho sio rahisi kukigundua , dawa yake inauzwa shs 6000 pharmacy ya maji , kama bado kupona unijulishe nikutumie hilonitumie kaka kina nitesa silalili
Nitumie kaka kina nitesa sana
 
Hello mim mgeni samhn nasumbuliwa na kitu kukaba kooni nimezunguka bila kufanikisha Tiba mwenye kujua tiba tafadhali anijuze[emoji120]thanks
Kwa maelezo ya staili hii huwezi kupata tiba

Hakuna daktari aliye ndani ya mwili wako unapaswa kujieleza ili daktari atete differentials afanye ulingani wa vipimo kufikia DX

Sasa maelezo mafupi hivyo Bado sana

Tueleza tatizo hilo lilianza lini, lilianzaje? , ni wakati gani hasa linakukaba, unafanyaje ili liachie kukaba, umetumia dawa gani mpaka Sasa, ulipimwa kipimo gani kilitoa majibu gani, umri wako, shughuli yako, vyakula vyako, umekulia wapi nk na nk

Hii walau itamfanya daktari kuja na mkakati ni vipimo gani afanye au dawa ipi akupe

Come on busa
 
Mkuu una kitu kinaitwa Acid reflux ambacho sio rahisi kukigundua , dawa yake inauzwa shs 6000 pharmacy ya maji , kama bado kupona unijulishe nikutumie hilo box la dawa mkuu ,
Kaka naomba nicheki whtsapp unitumie hyo dawa nahisi ninatatizo kma hilo 0623222390
 
Back
Top Bottom