mkolaj JF-Expert Member Joined Mar 24, 2014 Posts 3,023 Reaction score 1,089 Jul 19, 2024 #41 Bemendazole said: Meza levothyroxine. Click to expand... Asante kiongozi nitaitafuta.
K Kiranja wa jamii JF-Expert Member Joined Jan 2, 2023 Posts 441 Reaction score 1,065 Jul 20, 2024 #42 Mavindozii said: Mkuu una kitu kinaitwa Acid reflux ambacho sio rahisi kukigundua , dawa yake inauzwa shs 6000 pharmacy ya maji , kama bado kupona unijulishe nikutumie hilo box la dawa mkuu , Click to expand... Kwanini usitume jina la dawa au picha ya dawa hiyo hapa hapa? au siku hizi Jf wanazuia kusaidiana kwa namna hii
Mavindozii said: Mkuu una kitu kinaitwa Acid reflux ambacho sio rahisi kukigundua , dawa yake inauzwa shs 6000 pharmacy ya maji , kama bado kupona unijulishe nikutumie hilo box la dawa mkuu , Click to expand... Kwanini usitume jina la dawa au picha ya dawa hiyo hapa hapa? au siku hizi Jf wanazuia kusaidiana kwa namna hii