Nasumbuliwa na kitu kukaba kooni nimezunguka bila kufanikisha

Mkuu una kitu kinaitwa Acid reflux ambacho sio rahisi kukigundua , dawa yake inauzwa shs 6000 pharmacy ya maji , kama bado kupona unijulishe nikutumie hilo box la dawa mkuu ,
Kwanini usitume jina la dawa au picha ya dawa hiyo hapa hapa? au siku hizi Jf wanazuia kusaidiana kwa namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…