Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,859
- 4,539
Wadau,, me kijana wenu hapa nimekuwa Susceptible sana na hii homa ya Mafua,,, kwa experience yangu Sasa siwezi maliza miezi miwili bila Mafua na yakinishika Huwa yananishika kweli..
Yaan inafikia kipindi nikiwa safe namuogopa sana mtu anayeumwa Mafua maana nikimkaribia tu sichelewi kuyazoa.
So nimekuja kwenu mnisaidie dawa madhubuti za Kisasa au Asili zinazoweza kunisaidia maana yananitesa sana na kuninyima Raha kwenye shughuli zangu.
🙏🙏🙏
Yaan inafikia kipindi nikiwa safe namuogopa sana mtu anayeumwa Mafua maana nikimkaribia tu sichelewi kuyazoa.
So nimekuja kwenu mnisaidie dawa madhubuti za Kisasa au Asili zinazoweza kunisaidia maana yananitesa sana na kuninyima Raha kwenye shughuli zangu.
🙏🙏🙏