Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
nimepimwa mkojo na kinyesi hakuna kitu,madaktari wakapendekeza kuwa ni gesi actually first natumia dawa za gesi nilikuwa natoa upepo kwa kiasi kikubwa na hata nikijaribu kufanya mazoezi ni same situation.
tatizo la pili nimefanya kipimo cha sperm, haziruki na haziendi na nyingi zimekufa,daktari wakanipatia dawa ya doxlyn and fragly+injection.
Swali,je haya matatizo yanaweza kusababisha ugumba?pia kwa mtu aliyepona alipitia njia gani?
uume wangu unasimama fresh,sina hata chembe ya usaha,mkojo msafi.
tatizo la pili nimefanya kipimo cha sperm, haziruki na haziendi na nyingi zimekufa,daktari wakanipatia dawa ya doxlyn and fragly+injection.
Swali,je haya matatizo yanaweza kusababisha ugumba?pia kwa mtu aliyepona alipitia njia gani?
uume wangu unasimama fresh,sina hata chembe ya usaha,mkojo msafi.