Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa ndugu,usisahauKuna dawa moja, leo nikitoka kazini bitapiga picha hayo majani utachanganya na majani ya mbaazi unachemsha unakunywa,
lakini uvimbe si unamaumivu ya tofauti?mm sipati naumivu mpaka nibinye may be tumbo au hizo kende.uvimbe kwenye njia ya uzazi unaweza kusabababisha gesi na pia kuathiri uwezo wa kubebesha mimba.
kwa dalili hizo ni Hernia nenda hospital kubwa watakusaidia na ni vema ukafanyiwa surgery mapema japo sijui umri wakonimepimwa mkojo na kinyesi hakuna kitu,madaktari wakapendekeza kuwa ni gesi actually first natumia dawa za gesi nilikuwa natoa upepo kwa kiasi kikubwa na hata nikijaribu kufanya mazoezi ni same situation.
tatizo la pili nimefanya kipimo cha sperm, haziruki na haziendi na nyingi zimekufa,daktari wakanipatia dawa ya doxlyn and fragly+injection.
Swali,je haya matatizo yanaweza kusababisha ugumba?pia kwa mtu aliyepona alipitia njia gani?
uume wangu unasimama fresh,sina hata chembe ya usaha,mkojo msafi.
Pole sana mpendwanimepimwa mkojo na kinyesi hakuna kitu,madaktari wakapendekeza kuwa ni gesi actually first natumia dawa za gesi nilikuwa natoa upepo kwa kiasi kikubwa na hata nikijaribu kufanya mazoezi ni same situation.
tatizo la pili nimefanya kipimo cha sperm, haziruki na haziendi na nyingi zimekufa,daktari wakanipatia dawa ya doxlyn and fragly+injection.
Swali,je haya matatizo yanaweza kusababisha ugumba?pia kwa mtu aliyepona alipitia njia gani?
uume wangu unasimama fresh,sina hata chembe ya usaha,mkojo msafi.