mariam steven mgonglwa
Member
- Oct 18, 2017
- 24
- 5
Habari zenu wana jf mwenzenu nasumbuliwa na mate mazito kitu kinanibana ndani ya koo wakati mwingine niki kohoa natoa vichembechemb vidogo vidogo vyeny halufu mbaya kam mtu mwenye tatizo la kunuka mdom naombeni meongozo madoctar ni tatizo gani hili santen