je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Sawa kiongozi.Sio mbaya,unaweza kwenda hospitali lakini kama utakubali tumia hii dozi yaani acyclovir vidonge(dosage 7days 2x3 kwa siku na acyclovir cream unatumia kwa wakati mmoja na hakikisha umemaliza dozi
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app