Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
[emoji23][emoji23][emoji23] KudadadekiWeka Picha, ingefaa Zaidi,
Isije ikawa Herpes zoster, maana zina mfanano fulani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] KudadadekiWeka Picha, ingefaa Zaidi,
Isije ikawa Herpes zoster, maana zina mfanano fulani.
[emoji23][emoji23]Vimetoa maniivinawasha au kuuma
umejaribu kuvitoboa? (vimetoa nini?)
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.
Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?
Msaada please madokta [emoji120][emoji120][emoji120]
mkuu nenda kashtaki usidhurumu haki yako au ulikula vyake uyo mtuKiufupi Kama vile nilibakwa maana sikua na mahusiano na mtu huyu.
Nataman kwenda police nikamfungulie mashtaka hivi inawezekana???
Nitaambiwa ushahidi nitaonyesha nini ?? Moyo wangu unaniuma sana
Weka pichaNaomba kuwasilisha
Ni zipi tiba za ugonjwa wa genital wart (vinyama pembeni mwa uke )...!
Je, ni surgery?
Dawa za kupaka?
Au kuna tiba asili za kuondoa hizi mambo maana inafikia wakati hata kutengea ni shida na hata kukaa pia.
Karibuni wajuzi.
kashtaki mkuu au ni ndugu wa karibu..?No sijawah kula chake chochote
🤣😅😃😀🥱😮🤗Weka Picha, ingefaa Zaidi,
Isije ikawa Herpes zoster, maana zina mfanano fulani.
Huo ni ugonjwa wa zinaa pambana hauponi ni kama vita Mimi nilikuwa kila DawaNimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.
Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?
Msaada please madokta [emoji120][emoji120][emoji120]
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.
Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?
Msaada please madokta [emoji120][emoji120][emoji120]
Weka picha tuone ili tujue uanze na dawa gani
Huyu binti amenikera! Inaonesha hathamini mwili wake. Unagawa K kama njuguUlifurahia tendo kama siku hiyo hiyo hukuenda leo unalalamika nn tibu gonjwa hilo alaf siamini kama ulibakwa
Bei gani iyo dawa na inaitwaje?Niliwahi kupata huu ugonjwa nikaenda hospitali nikapewa kijiti ambacho kwa juu kina dawa ambayo unapaka kwenye hizo warts.Hiyo dawa huchoma na kuziunguza kabisa hizo warts.Nilipona moja kwa moja hata huwezi kujua kama niliwahi kupata huo ugonjwa.Hiyo dawa ya kuchoma ni bora sana kwa huu ugonjwa.
Inaitwa silver nitratesBei gani iyo dawa na inaitwaje?
Ukivikwangua au kuvikata vinaota tena mkuu.Dawa yake ni kuvikwangua tu...
Inapatikana wapi hii I mean hata kwenye standardized pharmacies inapatikana na bei yake inaweza ikarange kwenye kiasi gani?Inaitwa silver nitrates
Leta picha Madaktari tukague hizo warts zimefika kiwango gani, tuwekee picha picha ya hilo eneo piga vizuri kukiwa na mwanga wa kutoshanimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.
Mwambie aweke picha Madaktari tukague acha zako wewe hata watoto walioungana uti wa mgongo wanatenganishwa bila kisuhahaha amna treatment ya warts 😂😂😂. kuna expensive cryotherapy. nayo ina high recurrence. kama umepata imeisha hiyo. viral infection