Nasumbuliwa na tatizo la genital warts

Nasumbuliwa na tatizo la genital warts

Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.

Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?

Msaada please madokta [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kiufupi Kama vile nilibakwa maana sikua na mahusiano na mtu huyu.

Nataman kwenda police nikamfungulie mashtaka hivi inawezekana???

Nitaambiwa ushahidi nitaonyesha nini ?? Moyo wangu unaniuma sana
mkuu nenda kashtaki usidhurumu haki yako au ulikula vyake uyo mtu
 
Naomba kuwasilisha

Ni zipi tiba za ugonjwa wa genital wart (vinyama pembeni mwa uke )...!

Je, ni surgery?
Dawa za kupaka?
Au kuna tiba asili za kuondoa hizi mambo maana inafikia wakati hata kutengea ni shida na hata kukaa pia.

Karibuni wajuzi.
Weka picha
 
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.

Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?

Msaada please madokta [emoji120][emoji120][emoji120]
Huo ni ugonjwa wa zinaa pambana hauponi ni kama vita Mimi nilikuwa kila Dawa
 
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.

Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?

Msaada please madokta [emoji120][emoji120][emoji120]

IMG_8823.jpg

ukichelewa dude itakua kama uyoga! nenda hospital sio mtandaoni
 
ilaa aisee haya mambo hatarii sanaa...uzinzi malipoo yake duuh!
 
Niliwahi kupata huu ugonjwa nikaenda hospitali nikapewa kijiti ambacho kwa juu kina dawa ambayo unapaka kwenye hizo warts.Hiyo dawa huchoma na kuziunguza kabisa hizo warts.Nilipona moja kwa moja hata huwezi kujua kama niliwahi kupata huo ugonjwa.Hiyo dawa ya kuchoma ni bora sana kwa huu ugonjwa.
Bei gani iyo dawa na inaitwaje?
 
hahaha amna treatment ya warts 😂😂😂. kuna expensive cryotherapy. nayo ina high recurrence. kama umepata imeisha hiyo. viral infection
 
hahaha amna treatment ya warts 😂😂😂. kuna expensive cryotherapy. nayo ina high recurrence. kama umepata imeisha hiyo. viral infection
Mwambie aweke picha Madaktari tukague acha zako wewe hata watoto walioungana uti wa mgongo wanatenganishwa bila kisu
 
Back
Top Bottom