Sawa kiongozi.Sio mbaya,unaweza kwenda hospitali lakini kama utakubali tumia hii dozi yaani acyclovir vidonge(dosage 7days 2x3 kwa siku na acyclovir cream unatumia kwa wakati mmoja na hakikisha umemaliza dozi
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Dawa yake ni kuvikwangua tu...Naomba kuwasilisha
Ni zipi tiba za ugonjwa wa genital wart (vinyama pembeni mwa uke )...!
Je ni surgery?
Dawa za kupaka?
Au kuna tiba asili za kuondoa hizi mambo maana inafikia wakati hata kutengea ni shida na hata kukaa pia.
Karibuni wajuzi.
Kwangua then weka alovera hiyo mambo itakuwa kwisha kbsaDawa yake ni kuvikwangua tu...
Sasa tiba inapatikana vipi bila kuona tatizo. Hata akienda hospitali ataambiwa aonyeshe penye tatizo.Mkuu kuwa serious
Ndio kusema atume picha...Sasa tiba inapatikana vipi bila kuona tatizo. Hata akienda hospitali ataambiwa aonyeshe penye tatizo.
Anaweza akahisi ni warts kumbe ni punye.
Silver nitrate inaitwa,Niliwahi kupata huu ugonjwa nikaenda hospitali nikapewa kijiti ambacho kwa juu kina dawa ambayo unapaka kwenye hizo warts.Hiyo dawa huchoma na kuziunguza kabisa hizo warts.Nilipona moja kwa moja hata huwezi kujua kama niliwahi kupata huo ugonjwa.Hiyo dawa ya kuchoma ni bora sana kwa huu ugonjwa.
Exactly!!....Ndiyo hiyo mkuu,ni moja ya tiba bora sana ya warts.Ziliisha kabisa nikawa mpya kabisa.Silver nitrate inaitwa,
Yeah inafanya kazi vizuri, but kama ana ngozi laini, atangulize mafuta ya jelly Kwanza alafu ndo atumie, ili isimuunguze.Exactly!!....Ndiyo hiyo mkuu,ni moja ya tiba bora sana ya warts.Ziliisha kabisa nikawa mpya kabisa.
Inaitwaje hiyo dawa mkuuNiliwahi kupata huu ugonjwa nikaenda hospitali nikapewa kijiti ambacho kwa juu kina dawa ambayo unapaka kwenye hizo warts.Hiyo dawa huchoma na kuziunguza kabisa hizo warts.Nilipona moja kwa moja hata huwezi kujua kama niliwahi kupata huo ugonjwa.Hiyo dawa ya kuchoma ni bora sana kwa huu ugonjwa.
Silver nitrateInaitwaje hiyo dawa mkuu
Ulifurahia tendo kama siku hiyo hiyo hukuenda leo unalalamika nn tibu gonjwa hilo alaf siamini kama ulibakwaKiufupi Kama vile nilibakwa maana sikua na mahusiano na mtu huyu.
Nataman kwenda police nikamfungulie mashtaka hivi inawezekana???
Nitaambiwa ushahidi nitaonyesha nini ?? Moyo wangu unaniuma sana
Weka picha tukaone na sisiNimekiona Kama kimoja hivi kadogo Sana ndo kanaanza
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.
Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?
Msaada please madokta [emoji120][emoji120][emoji120]
Lipia TangazoPiga 255-719196408 upate tiba karibu.