Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
😂😂kwamba ww dokta pekee yako humu ndani. jichanganye. ukisha kagua then what??,Mwambie aweke picha Madaktari tukague acha zako wewe hata watoto walioungana uti wa mgongo wanatenganishwa bila kisu
Nikishakagua nitaona Mimi km Dokta nachukua hatua gani inayofuata maana lazima nione hali ya mgonjwa ndio nifanye diagnosis yangu ya kimatibabu ili nimpatie Dawa mgonjwa, nione ni kiasi gani warts zimetapakaa😂😂kwamba ww dokta pekee yako humu ndani. jichanganye. ukisha kagua then what??,
means ujui. you should anticipate the conditions.Nikishakagua nitaona Mimi km Dokta nachukua hatua gani inayofuata maana lazima nione hali ya mgonjwa ndio nifanye diagnosis yangu ya kimatibabu ili nimpatie Dawa mgonjwa, nione ni kiasi gani warts zimetapakaa
Sijasema sijuimeans ujui. you should anticipate the conditions.
Ni kiasi gani pharmacy mkuuInaitwa silver nitrates
Kwenye pharmacy kubwaInapatikana wapi hii I mean hata kwenye standardized pharmacies inapatikana na bei yake inaweza ikarange kwenye kiasi gani?
Bei ni 8000Inapatikana wapi hii I mean hata kwenye standardized pharmacies inapatikana na bei yake inaweza ikarange kwenye kiasi gani?
Nashukuru mkuu. Hii ni muhimu kuwa nayo nyumbaniBei ni 8000
Tafuta humu upo uzi huo. Na dogo aliumwa aliweka hadi picha ya mborondo yake ikiwa na manunduHabari wataalam
naombeni mnisaidie kufahamu matibabu ya Genital wartz maan zimeota kwenye mashine
Dose imekuwa kali sana au...?
naomba uni tagg bossTafuta humu upo uzi huo. Na dogo aliyumwa aliweka hadi picha ya mborondo yake ikiwa na manundu
Weka picha ya 'K' hapa ndipo tukusaidie kwa uhakikaHabari wataalam
naombeni mnisaidie kufahamu matibabu ya Genital wartz maan zimeota kwenye mashine
Hizo ziache, utazitumia kuwasugua vizuri wadada..Habari wataalam
naombeni mnisaidie kufahamu matibabu ya Genital wartz maan zimeota kwenye mashine
Mtafute huyu jamaa anauza laki, ila inafanya kazi. 0692632727Habari wataalam
naombeni mnisaidie kufahamu matibabu ya Genital wartz maan zimeota kwenye mashine