Nasumbuliwa na udomo zege sijui kutongoza kabisa aisee

Nasumbuliwa na udomo zege sijui kutongoza kabisa aisee

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Sijui hii hali itakoma lini inanitia hasira sana sijui kitu gani kinanifanya kuwa hivi aisee sasa sijui kwanini naogopa ogopa huu si ni ujinga? Wakuu naombeni msaada jinsi ya kutongoza aisee nakerekwa na kuchukia aiseee

Unakuta kuna demu unamuelewa ila unashindwa kumface kwa sababu ya uoga na sijui kwanini naogopa inafika hatua najiuliza nini shida? Na sipati jibu la kueleweka kwenye akili yangu! Naombeni msaada aiseee
 
Sijui hii hali itakoma lini inanitia hasira sana sijui kitu gani kinanifanya kuwa hivi aisee sasa sijui kwanini naogopa ogopa huu si ni ujinga? Wakuu naombeni msaada jinsi ya kutongoza aisee nakerekwa na kuchukia aiseee

Unakuta kuna demu unamuelewa ila unashindwa kumface kwa sababu ya uoga na sijui kwanini naogopa inafika hatua najiuliza nini shida? Na sipati jibu la kueleweka kwenye akili yangu! Naombeni msaada aiseee
Hakuna shida mkuu.
 
Sijui hii hali itakoma lini inanitia hasira sana sijui kitu gani kinanifanya kuwa hivi aisee sasa sijui kwanini naogopa ogopa huu si ni ujinga? Wakuu naombeni msaada jinsi ya kutongoza aisee nakerekwa na kuchukia aiseee

Unakuta kuna demu unamuelewa ila unashindwa kumface kwa sababu ya uoga na sijui kwanini naogopa inafika hatua najiuliza nini shida? Na sipati jibu la kueleweka kwenye akili yangu! Naombeni msaada aiseee
Kunywa pombe ukishalewa domo zege linaisha kwa muda!
 
Back
Top Bottom