Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, upole hadi kwa wanawake?!Sijui hii hali itakoma lini inanitia hasira sana sijui kitu gani kinanifanya kuwa hivi aisee sasa sijui kwanini naogopa ogopa huu si ni ujinga? Wakuu naombeni msaada jinsi ya kutongoza aisee nakerekwa na kuchukia aiseee
Unakuta kuna demu unamuelewa ila unashindwa kumface kwa sababu ya uoga na sijui kwanini naogopa inafika hatua najiuliza nini shida? Na sipati jibu la kueleweka kwenye akili yangu! Naombeni msaada aiseee
Huyu nae akikataa huna msaada tena mkuu au sio+255743774065
mjaribu huyu akikukataa sasa ntakuwa sina msaada zaidi
nitampa dawa za yeye mwenyewe sasa atongozwe na wanawake...Huyu nae akikataa huna msaada tena mkuu au sio
Basi tufanye shindano mie na huyo mwenzangu atakaekupata ndio wako unaonaje hiingoja nifungue pm uanze namimi ili nijue shida iko wapi
ni vema pia twende kaziBasi tufanye shindano mie na huyo mwenzangu atakaekupata ndio wako unaonaje hii
Hapokei simu mkuu+255743774065
mjaribu huyu akikukataa sasa ntakuwa sina msaada zaidi
Hahaha,yaani hapa nilipo nimetoka mjini kununua vitu vya chuo kila mwanamke mwenye tako nikimuona nasikia Kama mwili una shake pumbu zinarukaruka mb** (inanesanesa) hiyo akili haitulii kabisa.
ni vema pia twende kazi
Mbona pm imefungwani vema pia twende kazi
Nitaifungua usjalMbona pm imefungwa
Kwa swala la wanawake huwa akili zinahama kabisa, Kuna dem aliwahi kutoka Loliondo huko akasafiri mpaka mwanza kunifuata mimi..Hamn mie nachangia tu mawazo ya jamaa maan kuna vitu ajaweka sawa