Nasumbuliwa na udomo zege sijui kutongoza kabisa aisee

Nasumbuliwa na udomo zege sijui kutongoza kabisa aisee

Capture.PNG
 
Sijui hii hali itakoma lini inanitia hasira sana sijui kitu gani kinanifanya kuwa hivi aisee sasa sijui kwanini naogopa ogopa huu si ni ujinga? Wakuu naombeni msaada jinsi ya kutongoza aisee nakerekwa na kuchukia aiseee

Unakuta kuna demu unamuelewa ila unashindwa kumface kwa sababu ya uoga na sijui kwanini naogopa inafika hatua najiuliza nini shida? Na sipati jibu la kueleweka kwenye akili yangu! Naombeni msaada aiseee
Mkuu, upole hadi kwa wanawake?!

Mimi pamoja na upole, nikimwona mwanamke mwenye uzuri ninaotaka, nambwatukia kwamba nampenda.

Upole uwe kwenye mambo yote lakini siyo wanawake. Tembeza rungu mzee
 
Jiamini kwanza naona tatizo ni kutokujiamini na hii inachangiwa zaidi na nyetogo. Acha nyetogo.

Alafu mwanaume kutongoza ni kawaida usiogope majibu yatakuaje au utaonekanaje kwa sababu hata wao kutongozwa ni kawaida.
 
Back
Top Bottom