Nasumbuliwa na udomo zege sijui kutongoza kabisa aisee

Nasumbuliwa na udomo zege sijui kutongoza kabisa aisee

ww jilipue! yani jitoe ufahamu mface huyo mrembo wako mwambie hali halisi jinsi unavyompenda, huku ukimtazama machoni usimuogope, msifie haswa, akitabasam tu mjaze maneno matamu mpaka arojeke.>>
 
Kwani upo kijiji gani mkoani? Maana kama ni mjini watu hawatongozi siku hizi, una mwelekeza tu kisela
 
Sijui hii hali itakoma lini inanitia hasira sana sijui kitu gani kinanifanya kuwa hivi aisee sasa sijui kwanini naogopa ogopa huu si ni ujinga? Wakuu naombeni msaada jinsi ya kutongoza aisee nakerekwa na kuchukia aiseee

Unakuta kuna demu unamuelewa ila unashindwa kumface kwa sababu ya uoga na sijui kwanini naogopa inafika hatua najiuliza nini shida? Na sipati jibu la kueleweka kwenye akili yangu! Naombeni msaada aiseee
Ukiona umejua tatizo basi jua umeanza kupona -psychology
 
Kwa swala la wanawake huwa akili zinahama kabisa, Kuna dem aliwahi kutoka Loliondo huko akasafiri mpaka mwanza kunifuata mimi..

Tena niligoma kumtumia nauli, akaja kwa hela yake
Duuh hii ilikuwaje!!!
 
Back
Top Bottom