Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Hakuna shida mkuu.Sijui hii hali itakoma lini inanitia hasira sana sijui kitu gani kinanifanya kuwa hivi aisee sasa sijui kwanini naogopa ogopa huu si ni ujinga? Wakuu naombeni msaada jinsi ya kutongoza aisee nakerekwa na kuchukia aiseee
Unakuta kuna demu unamuelewa ila unashindwa kumface kwa sababu ya uoga na sijui kwanini naogopa inafika hatua najiuliza nini shida? Na sipati jibu la kueleweka kwenye akili yangu! Naombeni msaada aiseee
Kunywa pombe ukishalewa domo zege linaisha kwa muda!Sijui hii hali itakoma lini inanitia hasira sana sijui kitu gani kinanifanya kuwa hivi aisee sasa sijui kwanini naogopa ogopa huu si ni ujinga? Wakuu naombeni msaada jinsi ya kutongoza aisee nakerekwa na kuchukia aiseee
Unakuta kuna demu unamuelewa ila unashindwa kumface kwa sababu ya uoga na sijui kwanini naogopa inafika hatua najiuliza nini shida? Na sipati jibu la kueleweka kwenye akili yangu! Naombeni msaada aiseee
Location zinaweza kuwa tofaut ,umri na n.k maan huyo anaonekana Bado ajachanganya+255743774065
mjaribu huyu akikukataa sasa ntakuwa sina msaada zaidi
hii ni ID yako nyingine?Location zinaweza kuwa tofaut ,umri na n.k maan huyo anaonekana Bado ajachanganya
Hamn mie nachangia tu mawazo ya jamaa maan kuna vitu ajaweka sawahii ni ID yako nyingine?
Na ndio ukweli huo.Watakwambia "tafuta hela" ety mademu watakuja wenyewe
Hilo gundu sasa😂achana na iyo
Kuna Ile unajua kabisa demu ni chawote afu wewe ukisogeza pua unapigwa kibuti.
Noma sana
Hujakosea coz ndo sounds nilzopgwa mim enz za ubinti'flani flani flani nakutaka kimapenzi.'
mbona sio ngumu au nakosea wakuu
Kwani uongo mwanawane...wanajua kuzinusa hatari...wanijigonga gonga tuu kwakoWatakwambia "tafuta hela" ety mademu watakuja wenyewe