cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ko wanyanyua vyuma ndo mnatongozwa na Gays? Akati nyie wenyewe ndo Gays haswaa.Kweli uliza yyte anaye nyanyua vyuma ! unless hayuko kwene social media
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko wanyanyua vyuma ndo mnatongozwa na Gays? Akati nyie wenyewe ndo Gays haswaa.Kweli uliza yyte anaye nyanyua vyuma ! unless hayuko kwene social media
Hata hapa.inbox kwako au
Hata hapa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We si ndo huyu Jana ulikua unalalamika unasumbuliwa na vibarango...
View attachment 2879538
Dah kwa io kwa picha hizo ndo umekiwasha Facebook Kila siku inbox zinajaa sio?
Ondoa hiyo picha feki uliyoweka Facebook, weka picha yako halisi huku flat screen ikiwa inaonekana uone Kama Kuna atakaye kusumbua.Nimejiunga kwene huo mtandao tangu 2020! Sikua mtumiaji.
Tangu nilipojiunga sikuwa napost chochote wala kuweka profile.Sasa mwezi wa 12 kutokana na kutokua busy bas nikawa na upload picha zangu pamoja na profile.
Mi ni mfanya mazoezi hivo huwa napost picha za mazoezi .
Tangu december aisee text ninazopokea kwa siku hata 21 ukikaa siku mbili ukijakuangalia unakuta hata text 41.
Najiuliza shida ni mazoezi au ni nini??
Lakin wengi n mashoga au watu wenye mlengo huo!!
Nifanyaje shida ni picha au shida ni baadhi ya marafiki ninaopokea request??
Weka pichaNimejiunga kwene huo mtandao tangu 2020! Sikua mtumiaji.
Tangu nilipojiunga sikuwa napost chochote wala kuweka profile.Sasa mwezi wa 12 kutokana na kutokua busy bas nikawa na upload picha zangu pamoja na profile.
Mi ni mfanya mazoezi hivo huwa napost picha za mazoezi .
Tangu december aisee text ninazopokea kwa siku hata 21 ukikaa siku mbili ukijakuangalia unakuta hata text 41.
Najiuliza shida ni mazoezi au ni nini??
Lakin wengi n mashoga au watu wenye mlengo huo!!
Nifanyaje shida ni picha au shida ni baadhi ya marafiki ninaopokea request??
Privacy ipii? Weka hapa tuone.we acha mambo hayo n privacy ya watu
Privacy ipii? Weka hapa tuone.
Utakuwa ume like groups, page au account za sexual content. Humo ndiko wanapojfichia