Wanajamvi
Naomben msaada kama kuna mtu anasafiri kutoka Mwanza kuja Morogoro au Dar, nimuelekeze anichukulie dawa njian pale Lunele kabla haujafika Hungumalwa.
Nasumbuliwa na jicho linaniuma pia sioni vizuri sasa linanitesa nashindwa kusoma nipo chuo hapa Morogoro mwenye kunisaidia ani Pm anipe na namba ya simu tuwasiliane.
Naomben msaada kama kuna mtu anasafiri kutoka Mwanza kuja Morogoro au Dar, nimuelekeze anichukulie dawa njian pale Lunele kabla haujafika Hungumalwa.
Nasumbuliwa na jicho linaniuma pia sioni vizuri sasa linanitesa nashindwa kusoma nipo chuo hapa Morogoro mwenye kunisaidia ani Pm anipe na namba ya simu tuwasiliane.