Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Hata muhusika mwenyewe mipango aliijua,

akawa anasema mara kwa mara mniombee,

kwenye kampeni alikua anasema
mwinyi mlimpa miaka 10,
mkapa mkampa 10,
kikwete mkampa 10,
kwanini mimi mnataka mnipe mitano?

hayo maswali unafikiri alikua anawauliza wananchi?
Kwamba kauawa? Kumbe ulinzi wote ule mkubwa wa helicopter na majeshi yenye silaha za Kila aina hawakuweza okoa uhai wake?? Si mlisema ni mcha Mungu na kwamba ni Rais pekee aliyemtegemea Mungu kipindi cha Covid 19. Kama angekua mcha Mungu wa kweli angeuawa kizembe??

Mlimkejeli Lowassa kuwa atafia Ikulu lakini imekua opposite, liwe funzo kwenu wote kwamba maisha anayapanga Mungu sio binadamu.
 
Kwamba kauawa? Kumbe ulinzi wote ule mkubwa wa helicopter na majeshi yenye silaha za Kila aina hawakuweza okoa uhai wake?? Si mlisema ni mcha Mungu na kwamba ni Rais pekee aliyemtegemea Mungu kipindi cha Covid 19. Kama angekua mcha Mungu wa kweli angeuawa kizembe??

Mlimkejeli Lowassa kuwa atafia Ikulu lakini imekua opposite, liwe funzo kwenu wote kwamba maisha anayapanga Mungu sio binadamu.
Unajua hili suala la Lowassa kuwa hai ni ushuhuda Mkubwa sana kwa Mwenyezi Mungu.

Yaani Samwel Sitta hayupo, J.P Magufuli hayupo tena ila Lowassa yupo

Mungu ni wa ajabu kwakweli, mipango yake sio kama ya wanadamu
 
Soma uzi huu hapa chini comment #7, kisha uniambie usahihi wa mtoa comment umekuja kwa uwezo wa maono ama aliijua mipango?

Labda ana uwezo wa ziada wa kutabiri mambo
 
Hata muhusika mwenyewe mipango aliijua,

akawa anasema mara kwa mara mniombee,

kwenye kampeni alikua anasema
mwinyi mlimpa miaka 10,
mkapa mkampa 10,
kikwete mkampa 10,
kwanini mimi mnataka mnipe mitano?

hayo maswali unafikiri alikua anawauliza wananchi?
Duh... Angewanyonga mafisadi kwanza, tatizo la nchi hii ni mafisadi ndo wameleta huu umaskini
 
Mmejiegememeza na kutumia jina la Mungu, kumbe mnamambo yenu ya Siri?

Tuone iwapo mtaishi milele
Mkuu It was just a lucky guess. Was High on drugs Marujana. When I take this stuff dude I can predict anything. And if you cross my path violence men.
 
Kwanza kabisa, niseme mimi si mtetezi wa Magufuli wala CCM. Ni mtetezi wa haki na mchambuzi wa siasa na mantiki.

Magufuli nishamsema sana, hivyo, ninachoandika hapa si kwa sababu ya kumtetea Magufuli.

Twende kwenye hoja baada ya dibaji hiyo.

Magufuli ameshasema mara kadhaa hataki kuongeza muhula wa urais.

Kwa nini mnafanya hili suala kuwa hoja?

Hususan kama kuna makosa mengi sana ambayo Magufuli ameshayafanya ambayo yanaweza kujadiliwa kama hoja halali, factually, na si speculation?

Mimi naona wapinzani wa Magufuli kuongelea hili kunaonesha yafuatayo.

1. Hawana focus. Wanakuwa kama mtu tajiri mwenye hela nyingi sana (wana hoja nyingi sana halali za kumsema Magufuli) lakini ambaye bado anaenda kukopa hela benki kwa riba kubwa sana (licha ya kuwa na hoja nyingi halali za kumsema Magufuli, wanaenda kukopa hoja ambayo haina uhalali ya kuhusu makosa ambayo hayajafanyika,kiasi cha kufanya watu wahoji umakini wao).

2. Hawajadili mambo kwa facts. Bali kwa speculations.

3. Wanahukumu kosa ambalo wanafikiri litatetendeka, badala ya kuhukumu kosa lililotendeka. Hili ni jambo hatari. Kwa msingi huu, Magufuli anaweza kuamka siku moja akasema ameota waponzani wanataka kumpindua. Akawafunga wote.

4. Wanapoteza muda na nguvu kujadili speculations wakati kuna mambo muhimu ya kubana sasa hivi kama wizi wa kura katika uchaguzi, tume huru ya uchaguzi, katiba mpya etc.

5. Wanaonesha paranoia. Kitu ambacho hakifai katika uongozi.
Umetushauri vizuri sana sisi tunaomsema magufuli,tunakuahidi kuongeza juhudi na weledi kuhakikisha nunamsema zaid ya jana na kiubobezi maana kujikita hoja chakavu tunapunguza maumivu ya wanaompenda,aluta continua mpaka afufuke mbwa yule
 
Back
Top Bottom