Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

Unaombeaje taifa linalonyima haki kwa wananchi, kumbuka Haki ndio huleta Amani, hata vitabu vya Mungu vimesisitiza Hilo
 
Amen [emoji120]
 
ushashiba makande halafu unakuja kutuletea story zako za alfulela-ulela
 
Yes indeed, lets pray for this to pass well....However be assured Tanzania kama nchi itashinda...I repeat, itashinda...I know and know the end before the beggining...Aliyesimama asidhani yupo imara na aliyedhaifu asidhani hana msaada, its a pass over, we are crossing the red sea, ge prepared; ng'ambo lazima tufike kwaudi na uvumba!
 
Tambo la kusikiliza mambo lilisha washwa likadetects likazimwa in and out on the table!,
N.b,mtambo huu usiuzwe unasaidia sana katika intelligent!
 
TumainiEl post zako mara nyingi huwa zinakuwa na ukweli ndani yake, huenda upo kwenye Deep state.
Nakumbuka 2020 ulitoa post fulani juu ya kuliombea taifa baadaye July 2020 km sikosei BWM akatangulia mbele ya haki 2021 JPM akatuacha pamoja na Maalim Seif Sharifu Hamad, Katibu Mkuu kiongozi Kijazi injinia Mfungale nk nk.
Mungu anisaidie Ila Rostiam Azizi, Kinqnq na Jk nawachukia Mungu atawalipa kulingana na wanachokipanda kwa taifa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…