Natabiri Man City kuwa bingwa wa makombe matatu msimu huu

Mara, pep hawezi kubeba uefa kwa mpira wake, sasahivi yamekua hayo tena, wakati unasema hawezi kubeba hukujua kua ana hiyo timu ambayo hata nabi ataweza kubeba uefa?
Kubali umekua proved wrong bro.
Ww kidogo una akili sio kama yule mwenzako mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…