pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Ww kidogo una akili sio kama yule mwenzako mwingine.Mara, pep hawezi kubeba uefa kwa mpira wake, sasahivi yamekua hayo tena, wakati unasema hawezi kubeba hukujua kua ana hiyo timu ambayo hata nabi ataweza kubeba uefa?
Kubali umekua proved wrong bro.