Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ahsante mkuuishachezwa tayari kwa wenye macho ya kiroho lakini kwa nyie wengine ni saa 12.15 jioni
Huyo Manara anahahaaa unajua dharauliwa na wotee lakini mwanaume kudharauliwa na mwanamke inaumaaa tena sio dharau tuu yani anaonewa kinyaaa lazima udate kwa kila haliWakati tunasherehekea huu ushindi kule Bugatti keshazindua "nickname" ya CEO wetu dada yetu mpendwa!
Huyu mzungu pori tumfanyenye wana msimbazi?
Simba nguvu moja
Nina hasara mchumba wangu unapenda mpira hadi sio poa😅Vyura sasa wanatyp kwa hasira naona tuu typing..... hahaha jamani acheni makasiriko
zeruzeru , zeru square,mrs Tozi..muambie kwanza watoto wa mzee tozi wanamsalimia mama yao mdogoWakati tunasherehekea huu ushindi kule Bugatti keshazindua "nickname" ya CEO wetu dada yetu mpendwa!
Huyu mzungu pori tumfanyenye wana msimbazi?
Simba nguvu moja
Sijui ntaachaje sasa ila majukumu yangu natekelezaaNina hasara mchumba wangu unapenda mpira hadi sio poa😅
mkuu hilo fuvu lako limehifadhi akili au ni box la kuhifahia mimeno iliyooza kama ya zeruzeruWe kolo amka utakojoa kitandani.
Kwenye majukumu aaah uko poa sana mpenzi wangu. Wee endelea na ushabiki wa mpira una baraka zangu, sio kwa kukupenda huku😘😘😘😘🤣🤣🤣Sijui ntaachaje sasa ila majukumu yangu natekelezaa
Nashukuru kwa kunibariki ndo maana nakupenda hahaaaaaKwenye majukumu aaah uko poa sana mpenzi wangu. Wee endelea na ushabiki wa mpira una baraka zangu, sio kwa kukupenda huku😘😘😘😘🤣🤣🤣
Kweli mkuuHuyo Manara anahahaaa unajua dharauliwa na wotee lakini mwanaume kudharauliwa na mwanamke inaumaaa tena sio dharau tuu yani anaonewa kinyaaa lazima udate kwa kila hali
Wait for Stephen Chelu.Simba leo wamefanikiwa kutoa gundu la kipuuzi kabisa, geita gold amekula goals 6-0 huku mfungaji wa goal la kwanza akiwa ni clatous chama dakika ya 7
Haijajulikana kilichosababisha simba waonyeshe mpira mzuri na wenye kasi kama walivyofanya leo na bado haiujulikani kama wata maintain kiwango hicho
Kwa matokeo hayo simba iko kileleni mwa ligi kwa points 3 na magoli sita ya kufunga huku ikiwa haijafungwa