Natabiri matokeo ya Simba vs Geita gold yatauwa (6-0)

Wakati tunasherehekea huu ushindi kule Bugatti keshazindua "nickname" ya CEO wetu dada yetu mpendwa!

Huyu mzungu pori tumfanyeje wana msimbazi?

Simba nguvu moja
 
Wakati tunasherehekea huu ushindi kule Bugatti keshazindua "nickname" ya CEO wetu dada yetu mpendwa!

Huyu mzungu pori tumfanyenye wana msimbazi?

Simba nguvu moja
Huyo Manara anahahaaa unajua dharauliwa na wotee lakini mwanaume kudharauliwa na mwanamke inaumaaa tena sio dharau tuu yani anaonewa kinyaaa lazima udate kwa kila hali
 
Wakati tunasherehekea huu ushindi kule Bugatti keshazindua "nickname" ya CEO wetu dada yetu mpendwa!

Huyu mzungu pori tumfanyenye wana msimbazi?

Simba nguvu moja
zeruzeru , zeru square,mrs Tozi..muambie kwanza watoto wa mzee tozi wanamsalimia mama yao mdogo
 
Sijui ntaachaje sasa ila majukumu yangu natekelezaa
Kwenye majukumu aaah uko poa sana mpenzi wangu. Wee endelea na ushabiki wa mpira una baraka zangu, sio kwa kukupenda huku😘😘😘😘🤣🤣🤣
 
Kwenye majukumu aaah uko poa sana mpenzi wangu. Wee endelea na ushabiki wa mpira una baraka zangu, sio kwa kukupenda huku😘😘😘😘🤣🤣🤣
Nashukuru kwa kunibariki ndo maana nakupenda hahaaaaa
 
Ligi ya msimu huu hakuna timu itafungwa goli 5+ hao waliopanda daraja tu ni hatari sa nani afungwe migoli yote hiyo?
 
Kwenye kichwa cha habari unatabiri, kwenye utumbo wa habari una narrate as if kimeshatokea, kweli kolo ni kolo milele.

Na hii ndio shida yenu, huwa mnaamua kujipa matokeo mioyoni mwenu na mnaingia nayo uwanjani na isipokuwa hivyo mnapata ugonjwa wa moyo mnapaniki.
 
Wait for Stephen Chelu.
 
JF wangeanza utaratibu wa kupima watu akili kabla ya kuwaruhusu kuwa member
 
Zimefikiwa nusu si haba. Hongera wana SSc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…