Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Abiy Ahmed akisaidiwa na Eritrea wanapigana na muungano wa waasi ambao unaongozwa na TPLF.
Wamarekani wamepeleka ndege nyingi za mizigo Djibouti kusaidia evacuation ya Addis. Ndege nyingi za mizigo naaman tame ishirini au thelathini.
Kesho,Biden anaongea na Putin. Putin ataambiwa,"Tunakusihi, tukiishambulia Ethiopia, usiingilie kati.' Halafu,basi. The way will be open for the invasion.
Hawa watu wanataka kurudi madarakani Ethiopia. Waliondolewa 2018.
Hii ndiyo modus operandi katika hizi vita. Wakati ule Marekani walikuwa wanataka kuishambulia Iraq, wakapeleka watu Moscow kuongea na Putin.
Remember? Rubani Gunther Russbacher alikuwa jela wakati ule, wamkamtoa jela, aendeshe ndege awapeleke Moscow, kwa sababu "wewe Putin ni rafiki yako, you are the only Onen who can help us in this.
Lakini Wachina wana kambi Djibouti just seven km from the Amerikan camp. Na Waamerika wanavyoitunisha kambi yao siku hizi za karibuni, Wachina wanafanya hivyo hivyo.
Wamarekani wamepeleka ndege nyingi za mizigo Djibouti kusaidia evacuation ya Addis. Ndege nyingi za mizigo naaman tame ishirini au thelathini.
Kesho,Biden anaongea na Putin. Putin ataambiwa,"Tunakusihi, tukiishambulia Ethiopia, usiingilie kati.' Halafu,basi. The way will be open for the invasion.
Hawa watu wanataka kurudi madarakani Ethiopia. Waliondolewa 2018.
Hii ndiyo modus operandi katika hizi vita. Wakati ule Marekani walikuwa wanataka kuishambulia Iraq, wakapeleka watu Moscow kuongea na Putin.
Remember? Rubani Gunther Russbacher alikuwa jela wakati ule, wamkamtoa jela, aendeshe ndege awapeleke Moscow, kwa sababu "wewe Putin ni rafiki yako, you are the only Onen who can help us in this.
Lakini Wachina wana kambi Djibouti just seven km from the Amerikan camp. Na Waamerika wanavyoitunisha kambi yao siku hizi za karibuni, Wachina wanafanya hivyo hivyo.