Natabiri yatakayotokea siku za usoni watanzania tuzidi kusali

Natabiri yatakayotokea siku za usoni watanzania tuzidi kusali

Haki huwinuwa Taifa. Sasa ndugu zangu natabiri natabiri yatakayo tokea siku za usoni.
Kutakuwa na ishara ya mtikisiko kutoka kati kati ya Taifa. Mtikisiko huu utasumbuwa wenye mamlaka. Inashauriwa viongozi wakitaifa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kujitahidi tenda haki ili kupunguza mtikisiko huu utakao likumba taifa.


Inashauriwa kuweka hakiba ya chakula maana kutokana na njaa na kukosekana kwa kipato watu watauza mpaka mbegu na chakula kitapanda bei sana.

Vuguvugu la siasa linalo endelea uwenda likatoka kuwa vuguvugu lakisiasa na kuwa vuguvugu lakidini nahapa kila asomaye aongezewe maarifa ni kwa namna gani au ni kwa jinsi gani hakuna ajuwae ila itakuwa nijambo la ghafla ambalo wengi hawakulitajaria.

Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wa Raia viongeze ulinzi maeneo yakusini mwa Tanzania maana kipo kitisho uwenda kukawa na mashambulizi wakati waubebaji na usafirishaji wa zao la korosho jambo litavurugha bei na biashara yenyewe. Nimuhimu serikali kuweka ulinzi wa kutosha na kusikiliza maoni ya Raia.

Mfumuko wa bei nakupanda dola nikitisho kina nyemelea taifa na hii sio dalili nzuri hii ni dalili mbaya kwa taifa kutokana tuna import sana.
Kukusoma wewe huwa napata shida sana nikikumbuka ushangiliaji wako juu ya maumivu waliyokuwa wakipewa waTanzania wenzako kama akina Lissu na wengine.

Huu utabiri wako mbona husemi ni matokeo ya shangwe ulizokuwa ukizifanya wakati huo!
 
Daah! Muandiko wako huwa siupuuzii, Mungu atusaidie.
 
Naona wachangiaji wengi wanakupinga sana katika huu utabiri wako, siwalaumu.... huenda hawaishi Tanzania au hawapati taarifa kwa wakati sasa.
Kwa yanayoendelea kusini kwa sasa katika maeneo ya mipakani ni hatari kwa usalama wa Tanzania hasa kipindi hiki cha msimu, kuna Mashambulizi ya chini chini ya vile vikundi vya kigaidi vilivyofukuzwa msumbiji.Wenyeji wa huko wanajuwa kinachoendelea.
Last week nilikuwa huko nimesikia milio ya mabomu.Katika utabiri huu naungana na mleta maada.

Tukija katika suala zima la udini hili lipo tena kwa hali ilipofikia ni mbaya sana, hata jf sisi ni mashahidi wapo watu wanamtetea Rais kwa ajili yake tu, na kundi linampinga Rais kwa ajili ya dini yake.Mind you Jf ni jamii kama jamii zingine huko mitaani, hivyo kinacho jadiliwa hapa ndo kinachoonekana maeneo tunayoishi.
 
Haki huwinuwa Taifa. Sasa ndugu zangu natabiri natabiri yatakayo tokea siku za usoni.
Kutakuwa na ishara ya mtikisiko kutoka kati kati ya Taifa. Mtikisiko huu utasumbuwa wenye mamlaka. Inashauriwa viongozi wakitaifa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kujitahidi tenda haki ili kupunguza mtikisiko huu utakao likumba taifa.


Inashauriwa kuweka hakiba ya chakula maana kutokana na njaa na kukosekana kwa kipato watu watauza mpaka mbegu na chakula kitapanda bei sana.

Vuguvugu la siasa linalo endelea uwenda likatoka kuwa vuguvugu lakisiasa na kuwa vuguvugu lakidini nahapa kila asomaye aongezewe maarifa ni kwa namna gani au ni kwa jinsi gani hakuna ajuwae ila itakuwa nijambo la ghafla ambalo wengi hawakulitajaria.

Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wa Raia viongeze ulinzi maeneo yakusini mwa Tanzania maana kipo kitisho uwenda kukawa na mashambulizi wakati waubebaji na usafirishaji wa zao la korosho jambo litavurugha bei na biashara yenyewe. Nimuhimu serikali kuweka ulinzi wa kutosha na kusikiliza maoni ya Raia.

Mfumuko wa bei nakupanda dola nikitisho kina nyemelea taifa na hii sio dalili nzuri hii ni dalili mbaya kwa taifa kutokana tuna import sana.
Dkt Magufuli aliweza ku control mfumuko wa bei
 
Haki huwinuwa Taifa. Sasa ndugu zangu natabiri natabiri yatakayo tokea siku za usoni.
Kutakuwa na ishara ya mtikisiko kutoka kati kati ya Taifa. Mtikisiko huu utasumbuwa wenye mamlaka. Inashauriwa viongozi wakitaifa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kujitahidi tenda haki ili kupunguza mtikisiko huu utakao likumba taifa.


Inashauriwa kuweka hakiba ya chakula maana kutokana na njaa na kukosekana kwa kipato watu watauza mpaka mbegu na chakula kitapanda bei sana.

Vuguvugu la siasa linalo endelea uwenda likatoka kuwa vuguvugu lakisiasa na kuwa vuguvugu lakidini nahapa kila asomaye aongezewe maarifa ni kwa namna gani au ni kwa jinsi gani hakuna ajuwae ila itakuwa nijambo la ghafla ambalo wengi hawakulitajaria.

Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wa Raia viongeze ulinzi maeneo yakusini mwa Tanzania maana kipo kitisho uwenda kukawa na mashambulizi wakati waubebaji na usafirishaji wa zao la korosho jambo litavurugha bei na biashara yenyewe. Nimuhimu serikali kuweka ulinzi wa kutosha na kusikiliza maoni ya Raia.

Mfumuko wa bei nakupanda dola nikitisho kina nyemelea taifa na hii sio dalili nzuri hii ni dalili mbaya kwa taifa kutokana tuna import sana.
Paragraph=4: Likely; Ukizingatia Magaidi wamefurushwa MZQ na hatujui kwa sasa watakua wamejibanza maeneo gani.
 
Huku mapolisi wala rushwa tunadhalilisha makomandoo wetu hadharani kwa kesi za kutunga... Mapolisi jamii ya kingai na mahita waende huko kusini wakapambane na magaidi wa ukweli... Hatuhitaji PGO huko..
 
Haki huwinuwa Taifa. Sasa ndugu zangu natabiri natabiri yatakayo tokea siku za usoni.
Kutakuwa na ishara ya mtikisiko kutoka kati kati ya Taifa. Mtikisiko huu utasumbuwa wenye mamlaka. Inashauriwa viongozi wakitaifa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kujitahidi tenda haki ili kupunguza mtikisiko huu utakao likumba taifa.


Inashauriwa kuweka hakiba ya chakula maana kutokana na njaa na kukosekana kwa kipato watu watauza mpaka mbegu na chakula kitapanda bei sana.

Vuguvugu la siasa linalo endelea uwenda likatoka kuwa vuguvugu lakisiasa na kuwa vuguvugu lakidini nahapa kila asomaye aongezewe maarifa ni kwa namna gani au ni kwa jinsi gani hakuna ajuwae ila itakuwa nijambo la ghafla ambalo wengi hawakulitajaria.

Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wa Raia viongeze ulinzi maeneo yakusini mwa Tanzania maana kipo kitisho uwenda kukawa na mashambulizi wakati waubebaji na usafirishaji wa zao la korosho jambo litavurugha bei na biashara yenyewe. Nimuhimu serikali kuweka ulinzi wa kutosha na kusikiliza maoni ya Raia.

Mfumuko wa bei nakupanda dola nikitisho kina nyemelea taifa na hii sio dalili nzuri hii ni dalili mbaya kwa taifa kutokana tuna import sana.
We jamaa unapenda sana Mambo ya Shari Kila siku unatisha watu tu na mambo ya hovyo hovyo
 
Utabiri wako umeanza kutimia.
Haki huwinua Taifa. Sasa ndugu zangu natabiri natabiri yatakayotokea siku za usoni.

Kutakuwa na ishara ya mtikisiko kutoka kati kati ya Taifa. Mtikisiko huu utasumbua wenye mamlaka. Inashauriwa viongozi wakitaifa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kujitahidi tenda haki ili kupunguza mtikisiko huu utakao likumba taifa.

Inashauriwa kuweka hakiba ya chakula maana kutokana na njaa na kukosekana kwa kipato watu watauza mpaka mbegu na chakula kitapanda bei sana.

Vuguvugu la siasa linalo endelea uwenda likatoka kuwa vuguvugu lakisiasa na kuwa vuguvugu lakidini nahapa kila asomaye aongezewe maarifa ni kwa namna gani au ni kwa jinsi gani hakuna ajuwae ila itakuwa nijambo la ghafla ambalo wengi hawakulitajaria.

Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wa Raia viongeze ulinzi maeneo yakusini mwa Tanzania maana kipo kitisho uwenda kukawa na mashambulizi wakati waubebaji na usafirishaji wa zao la korosho jambo litavurugha bei na biashara yenyewe. Nimuhimu serikali kuweka ulinzi wa kutosha na kusikiliza maoni ya Raia.

Mfumuko wa bei nakupanda dola nikitisho kina nyemelea taifa na hii sio dalili nzuri hii ni dalili mbaya kwa taifa kutokana tuna import sana.
 
Aliwazalo mjng ndo litakalo mtokeaaa....hiyo ndo darubini...!!!

Wazo zuri mkuu
Mimi Mjinga ila soma kipengele cha kwanza ujuwe unapswa kuniomba radhi kabla ujapatwa na uchungu kwa kudharau huu unabii....
 
Hivi ni kweli Msoga na wenzie ndo deep State ya nchi? Hili likoje?
Mimi Mjinga ila soma kipengele cha kwanza ujuwe unapswa kuniomba radhi kabla ujapatwa na uchungu kwa kudharau huu unabii....
 
JF is the house of facts and schemes and not the house of illusions.
 
Kutakuwa na ishara ya mtikisiko kutoka kati kati ya Taifa. Mtikisiko huu utasumbua wenye mamlaka. Inashauriwa viongozi wakitaifa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kujitahidi tenda haki ili kupunguza mtikisiko huu utakao likumba taifa.
Mtikisiko ulitokea tayari. Ndugai aliupiga mwingi akaachia kiti.
Mfumuko wa bei tumeuona tayari. ....
 
Back
Top Bottom