Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Wanawake hawaeleki wanataka nini kwenye hii dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ada ya mtoto wake hajanikosea kitu mtoto ilikuwa part ya jukumu langu ni package ileAda ya nani au ulizaa nae?
Sidhani kwa mwanamke muelewaUjinga wako ulianzia hapa
Nisamehe shangaziHivi wewe ni nani na nilikufanyaga nini? 😡😡
Kwaninj ulipie ada mtoto sio wako?Sidhani kwa mwanamke muelewa
Mtoto hujamzaa ni jukumu lako pumbavu Bora ulie tuHapana ada ya mtoto wake hajanikosea kitu mtoto ilikuwa part ya jukumu langu ni package ile
Ushauri piga chini na utafute mwingine for the time being kuwa busy na mambo yasiyo mhusu kama job, hobby, biashara na task tofauti tofauti. Ukizidiwa bora ununue na utumie kinga kuliko kukaa na hilo bomu linalosubiri kulipuka.
Hemb Imagine ndugu yangu alaf ni ndani ya miez 6 tuu. Duuh10m? Okay..ulimgegeda how many times kwa kukisia mkuu?,na alikuwa anakupa kwa moyo wote?
Na bado mwamba anapigwa block Whatsapp na kuletewa nyodo kibao..Hemb Imagine ndugu yangu alaf ni ndani ya miez 6 tuu. Duuh
Sawa shangazi nimeachasio sifa 😡 😡 😡