Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Situmie shekh inafika mda najiuliza ata mimi imekuwaje nimeingia mkenge ivo yani ata sielewiPole bhanaa huu Uzi ndio uwe faraja yako.Baada ya muda utakuj hapa utabaki kucheka
alikua anakupa ndogo Kakaa [emoji23][emoji23]
Uwekezaji mkubwa kwa mda mfup imekuaje kuaje ?
Tena huyu ameenda mpaka kulipa ada ya bao ambalo hajalikojoa yeyeAlafu kwanini tunarudia makosa yale yale .single mazas Kila Siku
Ndio, na naamini huu uzi wako umetunga sio kweliMimi tena kivipi??
Inshallah leo ndio mwisho nimepata maoni ya kunipa moyo yakuendelea na maisha yangu lakn kabla ya sijakata wire nataka kuporomosha msg ya kumuonyesha alichofanya sio ungwana na nimeamua kuchukua time yanguAchana nae na huna sababu ya kutafuta kosa lako huyo hukuwa chaguo lake bali ulikuwa sponsor tuu ila kuna anaemuelewa yeye na sio wewe achana nae kbx Na mwenyez mungu atakupa wa kufanana na wewe na utafurahia mapenz
Nitunge ili iwaje sasa shekh kumfurahisha nani? Shukuru alijakupata wewe izi ni changamoto za maisha na zakupita tuNdio, na naamini huu uzi wako umetunga sio kweli
Nimelifikiria sana ilo kama mtu hajaonyesha utu na huruma kuna haja gani yakuwa na utu na huruma kwakeMroge tu .
Liwe fundisho kwa wenzake.
Nadhani hilo likawe funza na sasa songa mbele ukitafta sababu hutoipata utaishia kuumia bureBrother i have tried lakini the fact nikifikiria nimetumika all this time linanipa hasira kali sana.
Shekh nilipangwa sijawai ona sio kwamba mimi Mgeni kwenye hii sekta na nimekuwa nikipita nao sana tu this time nimezidiwa maarifa tu kweli nimeamini wanawake wanaweza nao.Tatizo hisia zinawaendesha we dadili ushaanza kuziona ila ulijitoa ufahamu,ulibeba majukumu ya mme wakati hujamuo,mtu mwenyewe single mama,m naona ukome acheni kukurupuka muwege mnachunguzana ikiwa mtu unataka awe mke wako serious
makosa ni yako na ukikua utaachaSidhani kwa mwanamke muelewa
Spoke as a true soljar nakubaliana na wewe kabisa 100 %. Sikuwai kusikia ili la single mothers lakini kiukweli wapo wengi mtaani sana sema huyu alikuwa bomu la nuclear kila simu ni tatizo la hela au msg ya kwanza salamu ya pili swala la hela.Najilaumu sana maza ashamuona akasema hamna kitu hapa yuko kimasilahi sana nikamuone yeye ndio anazeeka vbaya. These are good lessons and experiences in life cha msingi uzima tu, nishawai chukua mkopo nikiacha gari sehemu kumpa mtaji aisee kweli kama dawa ilikuwa ni kali sana.makosa ni yako na ukikua utaacha
tulishakubaliana humu hakuna kuona Single Mother huwa wanarudi wa waliowazalisha hata kuchagua wanaume tofauti tofauti wasio na vibamia yaani hawaridhiki kila mtalimbo wataupima kwani aliyemuanza wewe humjui.
kiufupi huyo mchagga au mpare wa Milimani hakufai maana si muelewa
najua inauma sanaa, jipe moyo hata sisi tulipitia huko, hebu jaribu kumsamehe na kumsahau tafuta Mwanamke mwingine (najua kwa sasa hakuna binadamu mrembo kuliko yeye)Spoke as a true soljar nakubaliana na wewe kabisa 100 %. Sikuwai kusikia ili la single mothers lakini kiukweli wapo wengi mtaani sana sema huyu alikuwa bomu la nuclear kila simu ni tatizo la hela au msg ya kwanza salamu ya pili swala la hela.Najilaumu sana maza ashamuona akasema hamna kitu hapa yuko kimasilahi sana nikamuone yeye ndio anazeeka vbaya. These are good lessons and experiences in life cha msingi uzima tu, nishawai chukua mkopo nikiacha gari sehemu kumpa mtaji aisee kweli kama dawa ilikuwa ni kali sana.
Nilikosea 2012 kmmk ambapo tar 25/7/2012 majira ya saa tano kasoro hivi natumiwa meseji naulizwa mbona siku hizi sikuelewi!? Haina hata salamu hiyo kmmmk, sijakaa sawa nikatextiwa tena, bana ee mi naona bora tuachane tu, nikasema whaat!? Akanijibu ndio hivyo na ninamaanisha.Unampendaje mwanamke?
Mpende sasa mle then SEPAAAAA
Nilikoseaga mara MOJA tu (2015) sitokuwa nikosee Tena.
#YNWA
Na haliwezi kunipata hilo mkuu... Ujinga kama huo siwezi fanya!Nitunge ili iwaje sasa shekh kumfurahisha nani? Shukuru alijakupata wewe izi ni changamoto za maisha na zakupita tu
Shekh story ni ndefu sana yani acha tu kama maumivu nimeyapitia kwa ukali sana nilishatoa hela nusu ya kununua gari likanishinda nikabidi nirudishiwe hela nusu yote sababu ya pressure za kutaka gari mambo mengi lakini kama unavosema niangalie utaratibu wa kumove on hapa nilipo anategemea hela ya mtaji this time roho imegoma kabsa,watu wanaonijua wananiuliza mbona umepungua ivo au unaumwa maana nimda mfupi nimepungua sana lakn siwezi msimulia mtu.najua inauma sanaa, jipe moyo hata sisi tulipitia huko, hebu jaribu kumsamehe na kumsahau tafuta Mwanamke mwingine (najua kwa sasa hakuna binadamu mrembo kuliko yeye)
Fanya hivi tafuta mahali penye michezo kashiriki, au kwenye mkusanyiko km si mnywaji tafuta mahali jinywee maziwa fresh au soda, maana kinachokuuma ni kwanini kachukuliwa na mwanamume mwenzako? huyo atarudi tu ila usimpokee na wewe kata mawasiliano kabisa hata akirudi achana naye huyo aliyenae hawezi lipia ada au mtaji.
Pole sana kaka Afadhali wewe alikupa taarifa huyu namuuliza aisee kuna shida gani niambie kama vp niangalie utaratibu wangu anaweza kubadilisha mada ghafla na kulia yani full drama queenNilikosea 2012 kmmk ambapo tar 25/7/2012 majira ya saa tano kasoro hivi natumiwa meseji naulizwa mbona siku hizi sikuelewi!? Haina hata salamu hiyo kmmmk, sijakaa sawa nikatextiwa tena, bana ee mi naona bora tuachane tu, nikasema whaat!? Akanijibu ndio hivyo na ninamaanisha.
Sikuwa na kazi ilikuwa napiga vimishe vyangu tu napata sh 2,3 namtumia robo tatu yote ya pesa nlokuwa naipata kumbe kuna mjuba huko jirani ya chuo chao anatembeza mpunga wa kutosha. Mbwa mimi nilitesekaaaa, nilihangaikaaa! Sikudata kipindi kile, sitokaa nidate maishaa.
Hom tulikuwa tunapitia kipindi kigumu hakuna mfano plus machungu hayo nikasema, iko siku muda utanipa nafuu. Nilishainuka na kuondoka, spidi niliyonayo sasa hivi kwa hawa watu kmmmk, wanaelewa wao tu ninaopita nao. Sijuagi kama nitakuja kuoa.