Natafakari nini cha kumfanya...

Natafakari nini cha kumfanya...

Wenzangu pesa mingi hivyo ya kuhonga mnaitoaga wapi!? Ndugu zangu nyie pesa mnazipatia wapiii! Halafu hii nguvu ya kuhonga singo maza kiasi hiko na alomzalisha unajua yupo na wana mawasiliano uliitoa wapi!?
Shekh kupenda sio poa, utafikiri sina ndugu wenye shida au na hela nyingi kiivo basi tu nilijiekea matumaini makubwa kwake na vile aniaminisha yeye mtu wa dini nikajua hofu iko kumbe bora ningenwapa mtaji ndugu zangu
 
Yaan wote mliochangia huko juu hata hamjaizungumzia hyo 10M,inaonekana mnaiona ya kawaida eee.

Achana nae
Ila ukipata mwingine wekeza nguvu zako kitandani pia sio unatumia pesa tu wakati kupiga pumbu hujui.
 
Captain
Another man down
We need a back up

Pole mkuu mapenzi yanaumiza sana na nnadhani ni kipindi ambacho kila mwanaume inabidi apitie
Hawa viumbe ni kuwaingia ukiwa na full combart ya kumfanyia chochote pale atakapoenda tofauti
 
Nakuachia ngoma
Lord have mercy
I remember the day i callde mama on the telephone
I told ee mamaa im getting married
I could here voice from the other side of the telephone she was smiling
And she ask me a question that I proudly answer
She said son did you take to know her
I said mamaa she is the best
But today it hurts so to go back to mama and say
Maaaamaaah im getting divorced

Muwe mnasikia pale mnapoambiwa
Its not easy to understand it son
But i hope you made it you will be happy again
 
Napitia kipindi kama chako mkuu japo mi sijahonga 10M kwa sababu huo uwezo sina.

Count your losses bro. Huoni kama amekupunguzia majukumu ambayo kimsingi hayakua yako. Nachokushauri jitahidi umakini wako kazini/biashara usitetereke. Pambana kurudisha taratibu kiasi ulichopoteza.

Najua ni ngumu kwa sababu na mimi napitia lakini kila leo ni bora zaidi ya juzi. Itachukua muda lakini utakua sawa.
 
Pole sana mkuu..! Kwa kuumizwa kihisia kwenye mahusiano uliyotumia fedha nyingi pamoja na muda wako kuinvest.. kwa mtu asiye sahihi kwako.

Baada yakukupa pole naomba nikuchane nikupe makavu live...

Kwanza katika mahusiano, mapenzi ya mihamala mwisho wake huwa ni mmbaya tu!

Mfano unakuta mtu kashamzoesha girlfriend wake kila wakikutana lazima sex iwe transactional, yani mwanamke anakuja akiwa na akili ya kwamba lazima aondoke na kiasi cha fedha after sex.. na anajua kabisa hadi kiwango

Sasa unajiuliza hawa wanauziana? Kuna upendo wa kweli wala emotional connection kati yao kweli?

Ukilifahamu hili hauta kaa uumie, kosa lako ni kutaka kum-win huyo duu kwa kua sponsor ili in return yeye akupende zaidii kufuatia yale unayomtimizia. Nafikri ulikuwa unafanya hivi kwasababu ulikuwa so insecure na ulishajua kabisa huyo duu hayupo interested na wewe so ukawa unajitutumua kufanya jitihada kuokoa penzi.

Hakuwa interested ndio maana alikata mawasilaiano pamoja na kukublock mara kadhaa.

Kumbuka Mtu ambaye hana hisia zozote na wewe kimapenzi kadri unavyofanya jitihada za kujiweka karibu na kumuonyesha upendo..
Ndivyo huzidi kujiweka mbali na kukudharau.
STOP CHASING WOMEN..

Hakuna kisasi utakachofanya kikakuletea faida..
Au kuridhisha moyo wako.

Chakufanya kata mawasiliano yote futa namba, block and unfollow kwenye social media zote.
 
Napitia kipindi kama chako mkuu japo mi sijahonga 10M kwa sababu huo uwezo sina.

Count your losses bro. Huoni kama amekupunguzia majukumu ambayo kimsingi hayakua yako. Nachokushauri jitahidi umakini wako kazini/biashara usitetereke. Pambana kurudisha taratibu kiasi ulichopoteza.

Najua ni ngumu kwa sababu na mimi napitia lakini kila leo ni bora zaidi ya juzi. Itachukua muda lakini utakua sawa.
Kama unapitia kipindi kama alichopitia huyo jamaa...
Mkuu Solution hapo ni kupiga chini na ku Move On... full stop
 
Brother i have tried lakini the fact nikifikiria nimetumika all this time linanipa hasira kali sana.
Watu wengi wanaumia kwenye mapenzi wakifikiri gharama na muda waliojinvest kwenye mahusiano mabovu

hapo ndipo roho za visasi huwajia... so anaweza mtu kujiua kwa matatizo ya akili ya kisaikolojia au kumfanyia ubaya mwenzake ili kulipiza kama kisasi..

Imagine kuna wanawake zaidi ya billion duniani lakini umeitrick akili yako she's the one and only
Mtu amabaye hata tabia zake hazipendezi kwenye jamii..naelewa binadamu hatujakamilika lakini kwa maelezo yako, kwa tabia zake ni sabbu tosha kabisa za kujiepusha naye.

Usije poteza pesa .. na ukapata na magonjwa hatarishi

The easiest solution... piga chini & Move On ...
 
dah pole mkuu! ila si wanaume tuna shida moja utakuta unaona kabisa hali halisi demu hana penzi la dhati ila kwakuwa una visenti na uonaona demu ana uhitaji mkubwa wa visenti basi unajaribu kutake advantage ya hivyo visenti vyako kuforce demu akuelewe hapa ndipo tunapokuja kuambulia maumivu mbeleni, mi nakushauri achananae km hasara ya pesa,muda pamoja na maumivu umeshapaya, move on mkuu
 
Kama unapitia kipindi kama alichopitia huyo jamaa...
Mkuu Solution hapo ni kupiga chini na ku Move On... full stop
sure, ukitaka kubamba hapo utazidi umia kichwa au ukfny jambo la ajabu uambulie matatizo
 
Mimi nikikwazwa hua naachia ngazi kimya kimya halafu yeye ndio aanze kuhangaika na maswali ya kinafiki “ eti mbona sikuelewi etc”

Napotezea mazima. Hii njia nimeibuni baada ya kupitia mashida kama yako. Cha msingi ni kuwa kuhonga ni kwa kiwango kidogo sana kwa ajili ya kusogeza maisha tu, ili hata mambo yakivunjika maumivu yasiwe makubwa
Big up bro !!! Uyokinachomuuma ni io million 10 hahahaaaaa dah mm hakuna kitu naogopa km kuhonga yaan naogopa balaa mwisho 10000 kuhonga mambo ya cjui niaxime laki 4 hapana kwa kwel
 
Nakubaliana na wewe kabsa sema niko kwenye kipindi kigumu sana cha kujiuliza kosa liko wapi au hawa viumbe ndio walivo hivi au nimekosea chaguo.
Kosa lako ni kuwa relationship focused mkuu..

Mwanamke ndio inabidi ai introduce hzio habari za kutaka kufunga ndoa, kutambulishwa kwenu.. sijui kutamani kuanzisha familia..etc akianza kukwambia hayo yote atlist itasaidia kuonyesha yupo serious au interested kwa kiasi gani.

Then baada ya hapo ni wewe sasa kuona kama anafaa, nakufanya maamuzi sahihialiyopendekeza..
 
Habari wanaJF, nitajitaidi kufupisha japo mambo ni mengi sana.

Mwaka jana mwezi wa saba nilifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kule milimani akiwa sehemu yake ya kazi akiwa na jiko sehemu flani beach kwa upande wa juu,kiukweli yule binti nirembo sana na yuko very smart and manipulator mzuri sana, mapenzi yalianza kwa mbwebwe mpaka nyumba kwetu na kwao plus mtoto wake na mzazi wake kunijua mambo yalianza kubadilika kidogo kidogo mara ataki Twende wote sehemu mara mawasiliano anachoka sana mpaka awe free by that time nimeshazama mazima, alinichezea mind game moja hatari kuniaminisha she is very innocent na hofu ya Mungu basi nikalibeba ilo lakini chini ya kapeti nasikia story za mtaani kuna jamaa mmoja wa beach flani naye anapiga na wanaonekana nikiuliza nakatiliwa so nikasema sio kesi maisha yaendelee.

This year January akiwa kwao uko milimani siku ya new year nikapewa block moja ya watsap na call nikarudiwa na sababu ya kuwa kuna msiba kwao hakuwa sawa lakini cha ajabu hakujua natumia simu nyingine kuview status zake akiwa anajiachia mahotelini and so ikaenda nikablockiwa tena this time nikaambiwa simu imekufa tukawa tunawasiliana kwa simu yake nyingine up to date, kuna ahadi nilimpa kwa kweli imekuwa kama fimbo na imeonyesha yuko interest ya iyo ahadi kuliko ata mimi muhusika nilichofanya nikawa natoa kidogo kidogo, inafika mda iyo simu nyingine nayo inazimwa pia kwaiyo imekuwa vurugu kabsa ndani ya moyo.Mda wote huu mimi ndio nilikuwa na sponsor kila kitu mtaji, pocket money, hela ya kula nyumbani, kodi ata ada ya mtoto na vitu vinge vidogo vidogo.

Maswali ninayo mengi sana kichwani kosa langu liko wapi na mbona hakuwa muwazi toka mwanzo nipite nisepe zangu i dedicated my self kwenye hayo mahusiano kujua nimepata mke bora kabsa nimejikuta nimeingia kwenye madeni yasio na misingi yote kujaribu kumridhisha.Sio kwamba nimekosa mwanamke wakunipenda au sina muonekano ila nimeamua kutulia naye tuanze maisha kwa kweli haya mambo yasikieni kwa mwenzako nimepoteza kilo za kutosha nimejikuta nimetumia zaidi ya 10M ndani ya miezi 6.Nimegombana na washkaji na ndugu sababu yake nikiamini hawamjui vzuri lakn makucha yake nimekuja kuona mwisho.

Wanajf naombeni mnipe muongozo kwenu nimeingiwa na chuki sana sijawai mfanyia mtu baya lakini this time am ready ata kuroga,kama mtu akuwa na huruma na utu juu yako unakuwa kuwaje na huruma kwake,nimejikuta natafakari mengi sana labda ndio tabia yake kucheza na hisia za watu nakuamia kwa mwingine kwa sababu kwa sasa nimemwambia sina kitu ameamua kukaa kimya na simu inazimwa mda mwingine, kuna mtu kaingia mkenge tena nadhani sasa huyu kawa janga la taifa inaweza mkuta mdogo wako au ndugu yako tusitumie jazba wala matusi,i admit she caught me off guard kabisa with the ability she as ni tatizo.
Pita na jamii yake ya karibu dada, marafiki, wadogo zake wanyooshe kwelikweli(jump ze wall) alafu uchimbe
 
Nasikitika kukwambia hata tuki kushauri utaendelea kua mnyonge wa mapenzi tu.Hauta sikia wala kukoma uta tamani kufanya kitu/jambo ila hauta weza uta baki kutamani tu

Usha ona ayo yote lakini bado humo tuuu
hilo ndio tatizo, mtu anakublock anakudanganya unagundua lkn bado umo tu sa sijui unakua unategemea mwsho wa aina gan, kaaz kwelikweli
 
dah pole mkuu! ila si wanaume tuna shida moja utakuta unaona kabisa hali halisi demu hana penzi la dhati ila kwakuwa una visenti na uonaona demu ana uhitaji mkubwa wa visenti basi unajaribu kutake advantage ya hivyo visenti vyako kuforce demu akuelewe hapa ndipo tunapokuja kuambulia maumivu mbeleni, mi nakushauri achananae km hasara ya pesa,muda pamoja na maumivu umeshapaya, move on mkuu
Ni kweli mkuu, huwezi kutumia pesa kumfanya mwanamke akupende kwa DHATI.
 
Kaka mi nifanyie connection ya ajira tu.
 
Back
Top Bottom