Natafakari nini cha kumfanya...

Natafakari nini cha kumfanya...

Brother 10M+ sio masihara kwa week nilikuwa na tuma 50k at least mara 4 au 3 bado plus ada, vitu vyakula ndani, mtaji,furnitures plus vingi na vingi but in all yani vyote ivo hajaviona yani kweli wanawake ni watu wa ajabu sana kuna mda nilimkodishia gari miezi mitatu nalipa, siku anashida ya hela ya kula nilibidi niweke bond simu kwa masaa machache ili nitume hela ya kununua vitu leo unaniambia nisimfanye kitu kweli?
Sasa usiseme wanawake,ni huyo huyo,usi-generalize!

Ngoja nitakuja na Uzi wangu,niliompenda na kumhudumia mtu nikaishia maumivu,japo ni tofauti kidogo sio ya usaliti [emoji23]
Lkn siwezi walaumu au kuona wanaume wote ndo wako hivyo!
Na nimemsamehe nimemuacha tena alikaa mwezi tu baada ya ugomvi akawa na demu mwingine eneo hilohilo[emoji23]na tunaonana karibu kila siku!
We si ungeua mtu!

My point is,usifanye chochote kibaya muache,vitaisha hivyo soon na ataingia kwenye uhitaji na atakukumbuka trust me!
 
Sasa usiseme wanawake,ni huyo huyo,usi-generalize!

Ngoja nitakuja na Uzi wangu,niliompenda na kumhudumia mtu nikaishia maumivu,japo ni tofauti kidogo sio ya usaliti [emoji23]
Lkn siwezi walaumu au kuona wanaume wote ndo wako hivyo!
Na nimemsamehe nimemuacha tena alikaa mwezi tu baada ya ugomvi akawa na demu mwingine eneo hilohilo[emoji23]na tunaonana karibu kila siku!
We si ungeua mtu!

My point is,usifanye chochote kibaya muache,vitaisha hivyo soon na ataingia kwenye uhitaji na atakukumbuka trust me!
Umeanza ufeminist na wewe mchezo wenu ni hatari toka kipindi cha samson, aliniwai tu a step ahead but doesn't make her a winner cause bado maisha yanaendelea.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Spoke as a true soljar nakubaliana na wewe kabisa 100 %. Sikuwai kusikia ili la single mothers lakini kiukweli wapo wengi mtaani sana sema huyu alikuwa bomu la nuclear kila simu ni tatizo la hela au msg ya kwanza salamu ya pili swala la hela.Najilaumu sana maza ashamuona akasema hamna kitu hapa yuko kimasilahi sana nikamuone yeye ndio anazeeka vbaya. These are good lessons and experiences in life cha msingi uzima tu, nishawai chukua mkopo nikiacha gari sehemu kumpa mtaji aisee kweli kama dawa ilikuwa ni kali sana.
Tena ushukuru Mungu una mama anaeona mbali!
 
Nasikia jana kaja kunitafuta,home night kali sijajua anachotaka nimemwambia very clear siko interested na hii michezo ya paka na panya aendelee na maishe yake.
Duh,we usije kuwa ulirogwa!
Mpotezee atakuua bure!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] dhuu!! Wazo zuri sema hamna haja ya yote hayo, kama kaniachia uhai inatosha atalipwa kwa njia yake. Wapo wataokula iyo tigo sio mimi
Kabisa mkuu!
Usimfanyie chochote kibaya! Mpotezee!
 
True niko kwenye mission na mtoto mwingine msupa tu ndio nataka kumalizia machungu uko kwa sasa.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hili ni tatizo!
Usije kukutana na mtu anaekupenda kweli halafu wewe ukawa unalipiza kisasi!
Mbay sana!

Ukitoka kwenye maumivu ni bora kujipa muda kwanza kabla hujaingia kwenye mahusiano mengine!
Though tumetofautiana Ku - hundle issues
 
Umeanza ufeminist na wewe mchezo wenu ni hatari toka kipindi cha samson, aliniwai tu a step ahead but doesn't make her a winner cause bado maisha yanaendelea.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23],hapana!
Ni vile mtu hana kitu na mpo kwenye relationship huwezi acha kumsaidia ni kawaida tu mbona!
 
Nakubaliana na wewe kabsa sema niko kwenye kipindi kigumu sana cha kujiuliza kosa liko wapi au hawa viumbe ndio walivo hivi au nimekosea chaguo.
Kosa lako ni pale ambapo ukiruhusu mapenzi ya upande mmoja! Yaani yeye hajishughulishi kuhakikisha mapenzi yenu yako imara, shughuli yote unafanya wewe! Kaa mbali kidogo, ili aone kama anakuhitaji au lah!
 
Habari wanaJF, nitajitaidi kufupisha japo mambo ni mengi sana.

Mwaka jana mwezi wa saba nilifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kule milimani akiwa sehemu yake ya kazi akiwa na jiko sehemu flani beach kwa upande wa juu,kiukweli yule binti nirembo sana na yuko very smart and manipulator mzuri sana, mapenzi yalianza kwa mbwebwe mpaka nyumba kwetu na kwao plus mtoto wake na mzazi wake kunijua mambo yalianza kubadilika kidogo kidogo mara ataki Twende wote sehemu mara mawasiliano anachoka sana mpaka awe free by that time nimeshazama mazima, alinichezea mind game moja hatari kuniaminisha she is very innocent na hofu ya Mungu basi nikalibeba ilo lakini chini ya kapeti nasikia story za mtaani kuna jamaa mmoja wa beach flani naye anapiga na wanaonekana nikiuliza nakatiliwa so nikasema sio kesi maisha yaendelee.

This year January akiwa kwao uko milimani siku ya new year nikapewa block moja ya watsap na call nikarudiwa na sababu ya kuwa kuna msiba kwao hakuwa sawa lakini cha ajabu hakujua natumia simu nyingine kuview status zake akiwa anajiachia mahotelini and so ikaenda nikablockiwa tena this time nikaambiwa simu imekufa tukawa tunawasiliana kwa simu yake nyingine up to date, kuna ahadi nilimpa kwa kweli imekuwa kama fimbo na imeonyesha yuko interest ya iyo ahadi kuliko ata mimi muhusika nilichofanya nikawa natoa kidogo kidogo, inafika mda iyo simu nyingine nayo inazimwa pia kwaiyo imekuwa vurugu kabsa ndani ya moyo.Mda wote huu mimi ndio nilikuwa na sponsor kila kitu mtaji, pocket money, hela ya kula nyumbani, kodi ata ada ya mtoto na vitu vinge vidogo vidogo.

Maswali ninayo mengi sana kichwani kosa langu liko wapi na mbona hakuwa muwazi toka mwanzo nipite nisepe zangu i dedicated my self kwenye hayo mahusiano kujua nimepata mke bora kabsa nimejikuta nimeingia kwenye madeni yasio na misingi yote kujaribu kumridhisha.Sio kwamba nimekosa mwanamke wakunipenda au sina muonekano ila nimeamua kutulia naye tuanze maisha kwa kweli haya mambo yasikieni kwa mwenzako nimepoteza kilo za kutosha nimejikuta nimetumia zaidi ya 10M ndani ya miezi 6.Nimegombana na washkaji na ndugu sababu yake nikiamini hawamjui vzuri lakn makucha yake nimekuja kuona mwisho.

WanaJF naombeni mnipe muongozo kwenu nimeingiwa na chuki sana sijawai mfanyia mtu baya lakini this time am ready ata kuroga,kama mtu akuwa na huruma na utu juu yako unakuwa kuwaje na huruma kwake,nimejikuta natafakari mengi sana labda ndio tabia yake kucheza na hisia za watu nakuamia kwa mwingine kwa sababu kwa sasa nimemwambia sina kitu ameamua kukaa kimya na simu inazimwa mda mwingine, kuna mtu kaingia mkenge tena nadhani sasa huyu kawa janga la taifa inaweza mkuta mdogo wako au ndugu yako tusitumie jazba wala matusi,i admit she caught me off guard kabisa with the ability she as ni tatizo.

Ukishindwa kusamehe lipa kisasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ulifanya kwa mapenzi kutoka moyoni tulia jipe muda zaidi wa kupumzika na kutafakari naamini haya maamuzi unayotaka kuchukua hautachukua, kubali hasara tu kama mfanyabiashara anapopata hasara kwenye uwekezaji mpya na iwe fundisho kwa mahusiano yajayo.

Kile kiapo cha damu hiki hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ukishindwa kusamehe lipa kisasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetafakari sana kiukweli sitaweza kusamehe sio kwa sasa labda mbeleni, sijawai lipiza kisasi lakini kwa ili nitalipiza ni haki yangu na Mungu nishaidi siweza kuwa na subra ya malipo ya dunia. Nimesamehe mengi na mazito kutoka kwake matusi, zarau, uongo na kujishusha utu wangu sana..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Nimetafakari sana kiukweli sitaweza kusamehe sio kwa sasa labda mbeleni, sijawai lipiza kisasi lakini kwa ili nitalipiza ni haki yangu na Mungu nishaidi siweza kuwa na subra ya malipo ya dunia. Nimesamehe mengi na mazito kutoka kwake matusi, zarau, uongo na kujishusha utu wangu sana..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Fanya kile ambacho kitaipa nafsi yako amani
 
Haya ya kwako ni madogo ya kwangu ni makubwa sana ukimpta mganga mzuri anayejua kuroga na kuua nishtue
 
Back
Top Bottom