Nsamehe kama nmeingilia jimbo ππ€¨
Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
Unataka ukatupwe mapoli ya Mlima Udzungwa eeeh π‘π‘π‘Nsamehe kama nmeingilia jimbo π
Ninachotaka utanipa?Njoo kwangu
Miaka 30 sio binti, binti ni 14 hadi 21Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
Ami tulizana miaka 34 bado mdogo sana wewe, umri wa kuoa badoNatafata Mwananke wa kuwowa π€£π€£π€£
Achana naye huyo 20 dec twende zetu Mountain Hanang vacation πππNinachotaka utanipa?
Sifa zote ninazo, nimekosa sifa moja tu, ya kumpenda Mungu.Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
Nipo naweweAchana naye huyo 20 dec twende zetu Mountain Hanang vacation πππ
Awww π₯±π€Nipo nawewe
Ndio ntakupaNinachotaka utanipa?
π€Ndio ntakupa
Mm mwnyw mtaalamu, njoo tuonyeshaneUnataka ukatupwe mapoli ya Mlima Udzungwa eeeh π‘π‘π‘
Kitulizeπ€