Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Bado hujasema 😂Achana naye huyo 20 dec twende zetu Mountain Hanang vacation 😊😊😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujasema 😂Achana naye huyo 20 dec twende zetu Mountain Hanang vacation 😊😊😊
Labda kwenu nyie ke, mimi muda wowote popote naopoa wachumba.sio kwa huu mwaka wa kufosi aseeee tunatafuta popote mlipo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Humu utakutana na onjaonja tupu
I'm On my wayMimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
umenishawishi,wacha nijilengeshe namim kam hao wengineLabda kwenu nyie ke, mimi muda wowote popote naopoa wachumba.
Mashaallah!Nimefika pm.Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
Sako kwa BakoMimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
niko hapa mrembo au nimechelewa?Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
Hawajilengeshiumenishawishi,wacha nijilengeshe namim kam hao wengine
ongera sana ungeeka naapicha ibgependeza huyu ni mkurya experience huwa ni wanawake bora sanaMimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
Inashangaza sana kwa kweli.Hivi kumbe miaka 30 ni binti?
Tena wasio na hili wala lile🤣🤣🤣Humu utakutana na onjaonja tupu
Una watoto wangapiMimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
KabisaTena wasio na hili wala lile🤣🤣🤣
Huu ni ukorofi mkuu😃😃Hivi kumbe miaka 30 ni binti?